WAZIRI WA AFYA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KIDO CBALOZI WA KAMPENI YA HOLELA-HOLELA ITAKUKOSTI

  Kampeni ya Holela-Holea Itakukosti inasisitiza mbinu kamilifu ya “Afya Moja” kushughulikia tatizo la UVIDA na magonjwa ya zuonotiki. Holela-Holela ilizinduliwa mwishoni mwa mwezi uliopita ikiwa ni ushirikiano ya Ofisi ya Waziri Mkuu Wizara ya Afya, Wizara ya Mazingira, Wizara ya Mifugo na Uvuvi na Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID). Dodoma Jumamosi…

Read More

MO awarudisha watu wa mpira Bodi Simba

Mwekezaji wa Simba Mohamed Dewji ‘MO’, amefanya uteuzi wa wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa upande anaousimamia, akiwarudisha watu wa mpira ndani ya klabu hiyo. Akitangaza uamuzi huo usiku huu, MO amesema kwa mujibu wa mamlaka aliyopewa katika makubaliano na Simba ibara ya 40, amewateua Salim Abdallah ‘Try again’, Mohamed Nassoro, Crescentius Magori, Hussein Kita,…

Read More

Temeke yaunda mabaraza kukabili ukatili kwa watoto

Dar es Salaam. Ili kukabiliana na vitendo vya ukatili kwa watoto, Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, imeunda mabaraza 102 katika mitaa yake. Kupitia mabaraza hayo watoto katika mitaa husika wanakutana na kujadiliana kwa pamoja kuhusu changamoto zinazowakabili na kupatiwa elimu ya namna ya kukabiliana nazo. Hayo yameelezwa leo Jumapili ya Juni 16, 2024 na Meya…

Read More

Mradi wa maji kunufaisha wakazi 12,000 Magu

Magu. Wakazi 12,000 wa Kijiji cha Kabila wilayani Magu, Mwanza wataanza kunufaika na mradi wa maji uliotekelezwa na kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) na shirika lisilo la kiserikali la (AFRIcai), ikiwa ni jitihada za kuwapelekea maji safi na salama wananchi wa eneo hilo. Mradi huo wenye thamani ya Sh215 milioni, unahusisha ufungaji wa pampu…

Read More

WIZARA YAITAKA NIRC KUSIMAMIA MAONO YA RAIS DK.SAMIA

Na Mwandishi Wetu NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Dkt. Hussein Mohamed Omar, amesema matarajio ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kuona sekta ya kilimo inaleta mageuzi ya kiuchumi nchini. Amesema kutokana na hatua hiyo ni lazima kufanyia kazi changamoto zilizopo katika sekta ya umwagiliaji ili kuwa na matokeo hayo. Dkt. Hussein ameyasema hayo…

Read More

Makumbusho kubwa ya Mwalimu Nyerere kujengwa Dodoma

Dar es Salaam. Mwanasiasa mkongwe, Paul Kimiti ameipongeza Serikali kwa kuitengea Sh1 bilioni Taasisi ya Kumbukumbu ya Mwalimu JK Nyerere ili kuanza ujenzi wa makumbusho kubwa ya kiongozi huyo mkoani Dodoma. Fedha hizo ni sehemu ya bajeti ya mwaka 2024/25 iliyoombwa na Wizara ya Maliasili na Utalii kwa lengo la kuboresha makumbusho ya Mwalimu Julius…

Read More