Nyota Simba aangua kilio uwanjani

NAHODHA wa timu ya vijana ya Simba chini ya miaka 17, Abdul Salum ‘Camavinga’ ameangua kilio  baada ya timu yake kupoteza mchezo wa kwanza katika ligi hiyo dhidi ya Yanga kwa mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi. Camavinga ambaye alionyesha kiwango bora katika mchezo huo, ilibidi abembelezwe na wachezaji wenzake pamoja na benchi…

Read More

Kilosa yajizatiti kuzuia ndoa za utotoni

Kilosa. Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka amesema katika kupambana na changamoto ya ukatili kwa watoto, Serikali wilayani humo imefanikiwa kuzuia uozeshwaji wa watoto wa kike walio chini ya miaka 14 takribani wanane. Amesema watoto hao walipangwa kuozeshwa na wafugaji wa jamii ya Kimasai kwa mahari ya ng’ombe. Akizungumza na Mwananchi…

Read More

KASEKENYA AAGIZA KUWEKWA ALAMA ZA TAHADHARI MLIMA BUSUNZU

Naibu Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya amemuagiza Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Kigoma kwa kushirikiana na Mkandarasi STECOL kuhakikisha wanaweka alama za tahadhari na kukagua mara kwa mara eneo la Mlima Busunzu sehemu ilipotokea changamoto ya kuharibika kwa kipande cha barabara chenye urefu wa takriban mita 100, wakati wakisubiri utatuzi wa…

Read More

Ukata waitoa Mbeya Taifa Cup

WAKATI Ligi ya mchezo wa kikapu Taifa ‘Taifa Cup’ ikitarajia kuanza Juni 19, timu ya Wanaume mkoani Mbeya imejitoa kushiriki michuano hiyo ikidai kukabiliwa na ukata. Akizungumza na Mwanasspoti Makamu wa Chama cha mchezo humo Mkoa wa Mbeya (MBA), Joseph Fyondi alikiri timu hiyo kujitoa kwenye mashindano hayo akieleza kuwa ukata ndio sababu. Alisema licha…

Read More

Balozi Ruhinda kuzikwa kesho Ununio, kuagwa KKKT Masaki

Dar es Salaam. Mmoja wa waasisi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Balozi Ferdinand Ruhinda (86) aliyefariki dunia juzi Juni 14, 2024 jijini Dar es Salaam, anatarajiwa kuzikwa kesho Jumatatu katika makaburi ya Kondo yaliyopo Ununio. Akizungumza leo Jumapili, Juni 16, 2024 Msemaji wa familia, ambaye ni mdogo wa marehemu, Edward Ruhinda amesema kabla…

Read More

Mabosi wapya soka la wanawake waahidi neema

CHAMA cha soka la Wanawake Mkoa wa Mbeya (MWFA) kimeahidi kusimamia vyema soka hilo kuhakikisha kinaibua na kuendeleza vipaji vya wanawake mkoani humo na kufikia kiwango cha ushindani. Mbeya licha ya kusifika kwa soka, lakini haijawahi kuwa na timu ya Ligi Kuu kwa Wanawake, huku daraja la Kwanza napo ikiwa ni kusuasua kwa timu zake…

Read More

Waziri Mkuu wa Tanzania Mh KASSIM MAJALIWA amesema uwepo wa kiwanda cha kutengeneza virutubishi vya vyakula

Waziri Mkuu wa Tanzania Mh KASSIM MAJALIWA amesema uwepo wa kiwanda cha kutengeneza virutubishi vya vyakula hapa nchini utasaidia kuimarisha afya za watoto na kupunguza vichwa vikubwa huku serikali ikiendelea kuhamasisha matumizi ya vyakula vyenye virutubishi. Waziri Mkuu ameyasema hayo wakati akifungua kiwanda kipya na cha pili barani Afrika cha kuzalisha virutubishi vya vyakula pamoja…

Read More

‘Wanandoa timizeni wajibu kwa kupeana tendo la ndoa’

Iringa. Tatizo la wanandoa kushindwa kupeana tendo la ndoa limetajwa kuleta madhara kazini kutokana na wafanyakazi wengi kwenda kazini  wakiwa na hasira na chuki zinazotokana na kutoridhishwa kimwili. Mkuu wa dawati la jinsia mkoani Iringa, Elizabeth Swai amesema migogoro mingi inayotokea maeneo ya kazi inatokana na wanandoa kutotimiza wajibu wao wa kupeana tendo la ndoa….

Read More

CHEZA NA MWANAO KAMA UNAVYOCHEZA NA SIMU YAKO

Cheza na mwanao kama unavyocheza na simu yako, kama unvyoipenda simu yako na pia mpende mwanao kama unavyoipenda simu yako kwani ulawiti na ubakaji unafanyika majumbani, mashulei na mitaani bila kujali anasoma shule gani na ukigundua anafanyiwa ukatili chukua hatua mara moja bila kujali hata kama ni ndugu yako aliyefanya ukatili na kufanya hivyo utakuwa…

Read More