Tabora United yabaki Ligi Kuu, yaizima Biashara kibabe

KAZI imeisha! Baada ya Tabora United jioni ya leo Jumapili kufanya kweli ikiwa nyumbani kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mjini Tabora kwa kuinyoosha Biashara United kwa mabao 2-0 na kujihakikisha kusalia katika Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao. Tabora ilipata ushindi huo unaoifanya iizuie Biashara Utd kurejea Ligi Kuu katika pambano la marudiano ya…

Read More

KASEKENYA AAGIZA KUWEKWA ALAMA ZA TAHADHARI  MLIMA BUSUNZU

Naibu Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya amemuagiza Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Kigoma kwa kushirikiana na Mkandarasi STECOL kuhakikisha wanaweka alama za tahadhari na kukagua mara kwa mara eneo la  Mlima Busunzu sehemu ilipotokea changamoto ya kuharibika kwa kipande cha barabara chenye urefu wa takriban mita 100, wakati  wakisubiri utatuzi wa…

Read More

Hemed awakumbusha wazazi kuwalinda watoto kwenye sikukuu

Unguja. Wakati Waislamu wakishehereka sikukuu ya Iddi, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleimana Abdulla amewataka wazazi na walezi kuwavalisha watoto wao nguo zenye stara wakati wa kusherehekea sikuku hiyo. Hemed ametoa kauli hiyo leo Jumapili Juni 16, 2024 wakati akizungumza na waumini na wananchi katika msikiti wa Mwembeshauri Mkoa wa Mjini Magharibi….

Read More

Prisons Queens waipania WRCL | Mwanaspoti

LIGI ya Mabingwa wa Mikoa kwa Soka la Wanawake (WRCL) inatrajiwa kuanza Jumatano jijini Dodoma, huku Tanzania Prisons Queens imesema wapo tayari kupambania nafasi ya kupanda daraja la kwanza. Ligi hiyo inashirikisha timu 19 kutoka baadhi ya Mikoa, ambapo timu mbili za juu zitapanda Daraja la Kwanza kwa ajili ya msimu ujao kutafuta nafasi ya…

Read More

‘Watumishi ZRA, tendeni haki jiepushe na rushwa’

Unguja. Watumishi wa Mapato Zanzibar (ZRA) wametakiwa kufanya kazi kwa weledi na kuepuka rushwa katika kazi zao za ukusanyaji wa mapato. Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya ZRA, Profesa Hamed Rashid Hikmany, ametoa kauli hiyo Juni 16, 2024 kwenye semina maalumu ya watumishi wa mamlaka hiyo kuhusu maadili kwa watumishi wa umma na kupambana na…

Read More

Mdhamini aitoa hofu Tanzania Prisons

MKURUGENZI wa kampuni ya Bens Agro Star, Patrick Mwalunenge amewatoa hofu Tanzania Prisons kuwa ahadi alizotoa kwenye mkataba wa kuidhamini timu hiyo atazitekeleza na kuongeza mkataba mpya msimu ujao. Oktoba 29 mwaka jana, Prisons ilisaini mkataba wa udhamini wa kampuni hiyo kwa thamani ya Sh 150 milioni, ambapo Mwalunenge akiahidi bonasi na ofa mbalimbali. Bonasi…

Read More

Dk Mpango ashiriki mazishi ya hayati Chilima wa Malawi

Dar es Salaam. Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango amemuwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika mazishi ya kitaifa ya aliyekuwa Makamu wa Rais wa Malawi, hayati Saulos Klaus Chilima. Ibada ya Mazishi hayo imefanyika leo Jumapili, Juni 16, 2024 katika Uwanja wa Taifa wa Bingu uliopo Lilongwe nchini Malawi. Akitoa salamu za rambirambi,…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Kakolanya katikati ya Ihefu na Namungo

KIPA Beno Kakolanya aliyekuwa akiidakia Singida Fountain Gate kabla ya kujiondoa kinyemelea mwishoni mwa msimu uliomalizika hivi karibuni, inadaiwa anagombewa na Ihefu na Namungo zote za Ligi Kuu Bara. Inaelezwa kuwa, kuna maamuzi magumu yanaweza yakafanyika kwa kipa huyo baada ya kuwepo kwa taarifa za kusaini Ihefu, lakini msimu ujao huenda akacheza Namungo inayodaiwa inamtaka…

Read More