Hizi hapa sifa za baba bora

“Inawezekana vipi nyumbani nawaacha watoto na mama yao halafu ikitokea wamefanya makosa anashindwa kuwaadhibu anasubiri hadi mimi nirudi. Unarudi usiku unapewa kesi ya mtoto iliyofanyika tangu asubuhi unalazimika kuadabisha ili akae kwenye mstari. “Hili nimelifanya kwa muda mrefu ila naona hatari yake, watoto watanichukia yani mimi ndiyo naonekana katili halafu mama yao ni mtu mwema…

Read More

Simba yatua Cameroon kusaka kipa, Yanga yamkomalia Kinzumbi

BAADA ya kudaiwa kumalizana na Joshua Mutale kutoka Zambia, mabosi wa Simba umeanza kumfuatilia kiungo mkabaji wa Rivers United, Augustine Okejepha ili atue kuiboresha timu hiyo msimu ujao. Kiungo huyo (20), inadaiwa anaonwa ni chaguo sahihi Simba kwa ajili ya msimu ujao, japo timu mbalimbali zimeonyesha kuvutiwa naye ikiwemo, FC Ural ya Urusi inayoshiki Ligi…

Read More

TPA yaeleza mchanganuo wa gawio ililolitoa Serikalini

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA), imesema kiwango cha gawio ililolitoa katika mwaka wa fedha 2018/19 kiasi cha Sh480 bilioni kilihusisha bakaa ya magawio ya miaka kitano ya fedha iliyopita. Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema Sh153.9 bilioni iliyoitoa kama gawio kwa Serikali imetokana na asilimia 15 ya mapato yake ghafi ya robo…

Read More

JICHO LA MWEWE: Maisha yameenda kasi sana kwa Djuma Shabani

NYUMA ya pazia katika stori ambayo inasisimua sana ni namna ambavyo Yanga walimpata mchezaji anayeitwa Djuma Shabani kutoka AS Vita ya DR Congo. Yanga walilazimika kupitia njia nyingi za panya kumpata Djuma. Alikuwa keki ya moto kwelikweli. Ubora wake kule pembeni katika beki ya kulia pale AS Vita ikaonekana Djuma hawezi kucheza mpira Tanzania. Kumbuka…

Read More

Watoto wataka mwarobaini wa vitendo vya ukatili dhidi yao

Arusha. Watoto wameitaka Serikali na wadau wa maendeleo ya jamii kutafakari na kutathimini upya mwarobaini wa kutokomeza vitendo vya ukatili wanavyokumbana navyo. Wamesema vitendo hivyo vinawaathiri makuzi yao ya kimwili, kiakili na kiafya na ni hatari kwa hatma ya Taifa la kesho linalowategemea kuja kuendeleza nchi katika nyanja za kisiasa, kidini, kijamii, kiutamaduni na kiuchumi….

Read More

Tatizo Simba lipo hapa, mastaa wafunguka

HAKUNA ubishi hali ndani ya klabu ya Simba sio shwari. Misimu mitatu mfululizo ya kutoka kapa katika michuano ya Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho ni mambo yaliyochafua hali ya hewa Msimbazi. Kumaliza nafasi ya tatu katika msimamo wa Ligi Kuu iliyomalizika hivi karibuni na kukosa tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika ni…

Read More

Ajira chanzo wanafunzi kukimbia baadhi ya kozi vyuoni

Dar es Salaam. Wakati idadi ya udahili wa wanafunzi wa mwaka wa kwanza ngazi mbalimbali vyuoni mwaka 2023/2024 ukishuka kwa asilimia 22.3 ikilinganishwa na mwaka uliotangulia, madini na sayansi ya dunia, sayansi ya maisha, utalii na ukarimu zinaongoza kwa kukimbiwa na wanafunzi. Hiyo ni baada ya takwimu kuonyesha kuwapo idadi ndogo ya wanafunzi wanaochagua kusoma…

Read More

MAKAMU WA RAIS AKIWASILI MALAWI KUSHIRIKI MAZISHI

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu, Lilongwe nchini Malawi ambapo anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mazishi ya Kitaifa ya aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Malawi Hayati Dkt….

Read More

Tabora, Biashara kinawaka leo kuisaka Ligi kuu

ACHANA na michuano ya Euro 2024 inayoendelea huko Ujerumani, unaambiwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mjini Tabora kuna bonge la mechi la kuamua timu ya 16 ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao. Wenyeji Tabora United iliyofumuliwa bao 1-0 ugenini na Biashara United ya Mara itakuwa na dakika 90 za kuamua…

Read More