Wanajeshi wanane wauawa kwenye mlipuko Israel

Gaza. Wanajeshi wanane wa Israel wameuawa katika mlipuko uliotokea kusini mwa Gaza jana Jumamosi Juni 15,2024, Jeshi la nchi hiyo (IDF) limesema vifo hivyo ni mojawapo ya hasara kubwa zaidi katika vita yake na wanamgambo wa Hamas. Kwa mujibu wa IDF, wanajeshi hao wameuawa wakati gari la kivita la Namer walilokuwa wakisafiria kulipuka karibu na…

Read More

WALIOVAMIA ENEO LA NSSF KUANZA KUONDOLEWA

Hatimaye waliovamia ardhi ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na kuanza kujenga makazi katika Mtaa wa Malela Kata ya Toangoma, Temeke Dar es Salaam wataanza kuondolewa rasmi katika maeneo hayo kuanzia tarehe 18 Juni 2024. Hatua hiyo ni utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe….

Read More

Yanga yazindua kitabu cha historia

YANGA SC, jana usiku ilizindua kitabu kinachoonyesha historia nzima ya klabu hiyo tangu kuanzishwa kwake kilichopewa jina la Klabu Yetu, Historia Yetu. Uzinduzi huo umefanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa michezo sambamba na viongozi wa Serikali huku mgeni rasmi akiwa Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Dotto Biteko. Akizungumza katika uzinduzi wa…

Read More

Miiko na nguzo za ndoa (2)

Leo tunaendelea tulipoishia kuhusiana na miiko na nguzo za ndoa. Karibuni tuendelee. Taaluma na taasisi yoyote lazima iwe na maadili ya kufanya ifanikiwe na kuheshimika. Ndoa kadhalika, lazima iwe na maadili vinginevyo haitafanikiwa au kuimarika. Kama ilivyo masharti ya udereva au uongozi, maadili ni nyenzo zinawezesha wanandoa kujifunza nini wafanye au wasifanye na kwanini. Maadili,…

Read More

NJOMBE YAPOKEA MWENGE, LUDEWA YAANZA KUUKIMBIZA.

Mwenge wa Uhuru umepokelewa rasmi Mkoani Njombe katika Wilaya ya Ludewa ukitokea mkoani Ruvuma ambapo katika mkoa wa Njombe utakimbizwa Km. 726 na kupitia miradi yenye thani ya Tsh. Bil. 15.9. Wilaya ya Ludewa ndiyo Wilaya ya kwanza kuanza kuukimbiza mwenge huo katika mkoa wa Njombe ambapo itakimbiza umbali wa Km. 137 mpaka kukabidhiwa kwake…

Read More

RC Chalamila ampeleka mkewe Simba!

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewaachana mbavu watu kwa vicheko baada ya kuigawa familia yake pande mbili za Yanga na Simba. RC Chalamila katika kuliweka wazi jambo hilo amesema kwamba kuanzia leo mkewe atakuwa anaishabikia Simba wakati yeye akiendelea kusalia Yanga ambapo kauli yake hiyo iliwafanya watu kuangua kicheko. Hayo yamejiri…

Read More

Kilimo cha parachichi kuwainua wananchi Gairo

Mkuu wa wilaya ya Gairo Jabiri Makame amesema Katika kuendelea kuwainua wananchi kiuchumi wameendelea Kutoa Elimu ya kilimo Bora na kilimo misitu Cha zao la. parachichi ili kujikomboa kupita sekta hiyo Jabiri amesema Wilaya hiyo ni Wilaya changa hivyo inahitaji nguvu ya ziada Ili kusukuma maendeleo ya mwananchi mmoja mmoja hivyo kupitia Kilimo Serikali itaendelea…

Read More

Haya ndiyo madhira yawakumbayo watoto

Dar es Salaam. Wakati leo Tanzania ikiungana na nchi nyingine za Afrika kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika, bado kuna changamoto nyingi zinazozorotesha ustawi wa watoto. Miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja na ukatili, malezi duni, mimba za utotoni, mmomonyoko wa maadili, na nyinginezo. Japokuwa zipo sheria na kanuni mbalimbali zinazolinda haki za mtoto, matukio…

Read More

MHANDISI ATAKAYEZEMBEA USIMAMIZI WA MRADI KUWA CHINI YA KIWANGO ATAWAJIBIKA – DC MGENI

NA WILLIUM PAUL, SAME. MKUU wa Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Same Jimson Mhagama kuhakikisha Mhandisi yeyote ambaye atazembea kwenye usimamizi wa mradi ukawa chini ya kiwango mtaalam huyo awajibishwe kufanya maboresho kwa gharama zake kwenye huo mradi na sio Halmashauri kuingia gharama za maboresho yake. Ameeleza hayo…

Read More