‘Wauza unga’ walivyokwaa kisiki kortini

Dar es Salaam. Kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza na hii ni baada ya wafanyabiashara wanne wa Jiji la Dar es Salaam waliohukumiwa kifungo cha miaka 20 jela na kulipa faini ya Sh10 bilioni, kukwaa kisiki katika rufaa waliyoikata. Wafungwa hao, Mirzai Pirbakhshi, Aziz Kizingiti, Said Mrisho na Abdulrahman Lukongo, walihukumiwa adhabu hiyo…

Read More

NMB YATOA TILIONI ZA MKOPO

Mkuu wa Idara ya Ushauri wa Kilimo Benki ya NMB  Isaack  Masusu (mwenye kofia) akifafanua  jambo  mbele ya Naibu Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Alexander Mnyeti  anayesikiliza wa kwanza kulia kwenye maonesho ya  wakulima wa kisasa yanayoendelea Ubena Zomozi  Halmashauri ya  Chalinze Mkoani Pwani. Na Khadija Kalili, Michuzi Blog SHILINGI Tilioni 1.61 zimetolewa…

Read More

Senzo ampa tano Mtine Yanga

ALIYEKUWA Ofisa Mtendaji Mkuu wa Yanga, Senzo Mbatha raia wa Afrika Kusini amesema mrithi wake Andre Mtine anastahili pongezi nyingi kutokana na mafanikio ya timu hiyo. Senzo aliyekuwa CEO wa Yanga kwa kipindi cha msimu mmoja wa 2021-2022, amesema Mtine raia wa Zambia amekuwa kiongozi mwenye maono makubwa ya wakati ujao, jambo ambalo linaleta matunda…

Read More

Masoud Kipanya kumdai Mwijaku fidia ya Sh5 bilioni

Dar es Salaam. Siku chache baada ya kusambaa taarifa zinazomuhusu Ali Masoud ‘Masoud Kipanya’ kwenye mitandao ya kijamii, Wakili Mwandamizi Alloyce Komba amesema wanakusudia kwenda mahakamani kudai fidia ya Sh5 bilioni. Taarifa inayodaiwa kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii na Burton Mwemba maarufu ‘Mwijaku’ inaelezwa kuwa imemkashfu na kumshushia heshima Masoud. Akizungumza na wanahabari leo Jumamosi…

Read More

ALAF Yazindua Maonyesho ya Kazi

Wanafuni wa Taasisi ya Teknorojia Dar es Salaam (DIT) wakiwa katikamkutano wakati wa maonyesho ya kazi zinazozalishwa na kiwanda chamabati cha Alaf yajulikanayo Afaf (Career Fair), yaliofanyika katikaofisi za taasisi hiyo jijini Dar es Salaam jana. Mkurugenzi wa Taaluma wa Taasisi ya Teknorojia Dar es Salaam (DIT) Dk.Kilaza Mwaikono akizingumza katika mkutano na wanafunzi wa…

Read More

MTU WA M PIRA: Simba inataka kurudi zama za mawe!

KUNA mambo mengi yanaendelea ndani ya Simba. Ilianza na wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi kujiuzulu. Baadaye akaja Mwenyekiti Salim Abdallah Muhene ‘Try Again’. Ni historia. Ni muda mrefu hatujaona viongozi wa Klabu hizi kubwa nchini wakiwajibika baada ya mambo kwenda ndivyo sivyo. Kina Try Again na wenzake wanapaswa kupongezwa. Baada ya hapo ikaja taarifa ya…

Read More

Ushuru kwenye ‘tomato sauce’ wapingwa

Dar es Salaam. Hatua ya Serikali kupendekeza kutoza ushuru wa bidhaa kwa kiwango cha Sh300 kwa kilo ya tomato sauce na tomato ketchup, chilli sauce na chilli ketchup zinazotoka nje ya nchi, imeelezwa na wadau wa uchumi kuwa inatokana na kukosekana ubunifu wa vyanzo vya mapato. Akiwasilisha bajeti ya Serikali kwa mwaka 2024/25 bungeni Juni…

Read More

UTEUZI; RAIS SAMIA ATEUA VIONGOZI MBALIMBALI

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, viongozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo:- Amemteua Balozi Dkt. John Stephen Simbachawene kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda na Biashara. Kabla ya uteuzi, Balozi Dkt. Simbachawene alikuwa…

Read More

Tangulia Chifu Ferdinand Kamuntu Ruhinda

TAIFA liko msibani. Usiku wa juzi Ijumaa, saa 3:00 usiku alifariki dunia mmoja wa Watanzania walioweka alama ya pekee katika historia ya taifa letu, Balozi Chifu Ferdinand Kamuntu Ruhinda (1938-39). Balozi Ruhinda anayetoka katika familia ya uchifu ni Mwandishi wa Habari kitaaluma na mwanadiplomasia. Alipata elimu yake ya uandishi wa habari katika Chuo Kikuu cha…

Read More

Rais Samia afanya uteuzi abadilisha msemaji wa Serikali

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali, akimteua Thobias Makoba kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali. Kabla ya uteuzi, Makoba alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano serikalini, Ofisi ya Msajili wa Hazina. Makoba anachukua nafasi ya Mobhare Matinyi ambaye amepangiwa majukumu mengine. Kwa mujibu…

Read More