Mbonekae gumzo Sokoine,  Mgunda ampa tano Mwamnyeto

ACHANA na matokeo ya ushindi wa mabao 2-1 iliyopata timu Mwamnyeto dhidi ya Mbeya All Stars,  burudani ilikuwa kwa mchekeshaji, Oscar Mwanyanje  ‘Mc Mboneke’ aliyeteka mashabiki kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini hapa, jioni ya leo Jumamosi, licha ya kwamba aligusa mpira mara tu uwanjani. MC Mboneke aliingia uwanjani hapo dakika ya 90 akichukua nafasi ya…

Read More

DAWASA yaja na suluhisho la maji kwa wakazi wa Sinza C,D

Wakazi wa Kata ya Sinza, Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam wametolewa hofu ya upatikanaji wa huduma ya maji kwenye maeneo yao kutokana na jitihada kubwa zinazotekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) za kufikisha huduma ya maji kwa uhakika. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Diwani Kata ya Sinza,…

Read More

Vijana wahofia usalama matumizi ya mitandao

Dar es Salaam. Asilimia 80 ya vijana waliohojiwa katika utafiti wa ulinzi na usalama mitandaoni wamesema hawapo salama. Hayo yamebainika leo Jumamosi Juni 15, 2024 katika mdahalo wa vijana na matumizi ya mitandao ulioenda sambamba na uzinduzi wa ripoti ya utafiti uliyofanywa na Shirika la Mulika Tanzania linalojishughulisha na masuala ya vijana. Ofisa Uchechemuzi na…

Read More

Kocha wa zamani Simba, atua Pamba Jiji

KOCHA wa zamani wa klabu za Simba na Tabora United, Goran Kopunovic ametambulishwa rasmi kuwa Kocha Mkuu wa timu iliyopanda Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao, Pamba Jiji akipewa mkataba wa mwaka mmoja. Akizungumza na Mwanaspoti, Meneja wa Pamba, Ezekia Ntibikeha amesema timu hiyo imempa Goran mkataba wa mmoja wenye kipengele kumuongeza iwapo atafanya kweli…

Read More

ZAIDI YA WASICHANA 2000 KUTOKA SHULE ZA SEKONDARI KUNUFAIKA NA MRADI WA ‘CODE LIKE A GIRL’ KUHAMASISHA MASOMO YA SAYANSI

 ZAIDI ya wasichana 2000 wenye umri kati ya miaka 14-18 kutoka shule za sekondari zilizopo kutoka mikoa ya Mwanza,Mbeya Arusha,Dodoma na Dar-es-saalam wanatarajia kunufaika na mradi wa ‘Code Like a girl’ wenye lengo la kuhamasisha masomo ya Sayansi, Hisabati na Teknolojia(STEM). Akizungumza wakati wa ufundishaji wa masomo hayo jana katika chuo cha Ualimu Butima,Mratibu wa…

Read More

Aggy Simba, Dokta Moo wafungiwa Simba

Wanachama maarufu wa Simba, Agness Daniel ‘Aggy Simba’ na Mohamed Hamisi ‘Dk Moo’ wamefungiwa na Sekretarieti ya klabu hiyo kujihusisha na masuala yote ya timu hiyo kutokana na malalamiko mengi ya kimaadili. Sekretarieti ya Simba imewafungia wanachama hao  hadi pale Kamati ya Maadili itakavyoamua vinginevyo. Katika taarifa ya Simba  kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo…

Read More