Muuguzi matatani, baada ya mama kujifungua pasipo usaidizi

Kigoma. Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza imemsimamisha kazi muuguzi katika Zahanati ya Basanza, Alex Lyimo kupisha uchunguzi baada ya kuhusishwa na malalamiko ya kumuacha Prisca Makenzi kujifungua bila msaada wake akiwa zamu Juni 9, 2024. Hatua hiyo imechukuliwa baada ya video kusambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonyesha Prisca (17) anayedaiwa kujifungua bila msaada wa mtoa…

Read More

THRDC yahamasisha majukwaa ya watoto watetezi shuleni

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umeanza kuwajengea uwezo watoto waweze kupata ujuzi wa kutetea haki zao kwa sababu ndiyo njia pekee ya kujilinda. Akizungumza Juni 14,2024 Mratibu Taifa wa THRDC, Onesmo Olengurumwa, amesema watoto wengi hawafundishwi haki za binadamu na hawajui haki zao hali inayochangia kwa…

Read More

Walimu wajengewa uwezo usimamizi elimu

Dar es Salaam. Walimu wapatao 47 wa halmashauri nne za Mkoa wa Lindi wamehitimu shahada (diploma) ya Usimamizi na Utawala wa Elimu (Dema) iliyofadhaliwa na Mradi wa Foundations for Learning (F4L), wakisoma kwa miaka mwili kwa njia ya mtandao na darasani. Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Juni 15, 2024 na Taasisi ya Maendeleo ya Elimu ya…

Read More

ZAIDI YA WASICHANA 2000 KUTOKA SHULE ZA SEKONDARI KUNUFAIKA NA MRADI WA CODE LIKE A GIRL

ZAIDI ya wasichana 2000 wenye umri kati ya miaka 14-18 kutoka shule za sekondari zilizopo kutoka mikoa ya Mwanza,Mbeya Arusha,Dodoma na Dar-es-saalam wanatarajia kunufaika na mradi wa ‘Code Like a girl’ wenye lengo la kuhamasisha masomo ya Sayansi, Hisabati na Teknolojia(STEM). Akizungumza wakati wa ufundishaji wa masomo hayo jana katika chuo cha Ualimu Butima,Mratibu wa…

Read More

Raja yamtibulia Nabi, yabeba taji kininja

UKISIKIA kunyang’anywa tonge mdomoni ndiko huku, baada ya Raja Casablanca kubeba ubingwa wa Ligi Kuu ya Morocco (Batola) uliokuwa unaonekana wazi upo mikononi mwa FAR Rabat inayonolewa na kocha wa zamani wa Yanga, Nasreddine Nabi. Nabi na FAR Rabat waliongoza Ligi hiyo kwa muda mrefu kabla ya mambo kutibuka baada ya Raja kuanza kula viporo vyake…

Read More

Ukaguzi wa haki za wafanyakazi viwandani waja

Kimbiji. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema Serikali ina mpango wa kuanza ukaguzi viwandani na maeneo yaliyoajiri watu kuangalia mikataba na uhusiano ya watumishi na waajiri wao kuanzia Julai mwaka huu. Chalamila ametoa kauli hiyo jana Ijumaa Juni 14, 2024 alipohudhuria sikukuu ya wafanyakazi ya Kiwanda cha Lake Cement Company Limited…

Read More

Tanesco yawasha mtambo namba 8 Bwawa Julius Nyerere

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema tayari mtambo namba nane kutoka kwenye Mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere umekamilika na sasa unaingiza megawati 230 kwenye gridi ya taifa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Dk. Biteko ametoa taarifa hiyo jana Ijumaa wakati akizindua taarifa za utendaji katika Sekta ndogo ya…

Read More

Wakuu wa mikoa, wilaya wanaendeleza ubabe

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema bado wakuu wa wilaya na mikoa hawafuati waraka uliotolewa na Serikali unaoelekeza uzingatiaji wa sheria na kanuni katika utekelezaji wa mamlaka yao ya ukamati badala yake wanaendeleza ubabe. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Waraka huo namba moja uliotolewa mwaka 2023 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka ulielekeza wakuu hao wa…

Read More