Kwa Mkapa wapewa heshima ya VAR

Dar es Salaam. Baada ya Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba kutangaza kuwa msimu ujao mechi za Ligi Kuu zitakuwa teknolojia inayomsaidia mwamuzi kufanya marejeo ya picha (Video Assistance Referee-VAR), Kaimu Mkurugenzi wa Michezo Ally Mayai amesema Uwanja wa Mkapa umeteuliwa kuwa kituo maalumu cha mafunzo kwa Afrika. Mwigulu aliyasema hayo juzi Alhamisi, Juni 13, 2024…

Read More

Kina Pacome walivyozoa Sh7 bilioni Yanga

Dar es Salaam. Yanga wikiendi iliyopita ilifanya mkutano wake mkuu wa mwaka ambao ulipitisha matumizi ya bajeti ya msimu uliopita, lakini pia ukapitisha matumizi ya bajeti ya msimu ujao. Kama ilivyo kawaida ya Yanga kwa miaka ya hivi karibuni mambo yao yamekuwa yakifanyika kwa mpangilio mzuri, mkutano huu ulifana kama mingine ya hivi karibuni. Ulihudhuriwa…

Read More

Control namba yakwamisha kesi iliyodumu kwa siku 3,000

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imechukizwa na kitendo cha mtu anayehusika kutoa namba ya malipo (control number) kwa ajili ya mshtakiwa Dilipkumar Maganbai Patel, kulipa faini kuchukua mwezi mzima kutoa namba hiyo. Patel anakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi namba 58/2016 yenye mashtaka mawili likiwamo la kusafirisha vipande 17 vya kucha za…

Read More

Maxime amvuta Nizar Dodoma Jiji

BAADA ya Dodoma Jiji kufikia makubaliano na aliyekuwa Kocha wa Singida Black Stars, Mecky Maxime ili kuinoa timu hiyo msimu ujao, tayari amependekeza jina la Nizar Khalifan ili akawe msaidizi wake ndani ya kikosi hicho cha walima Zabibu. Mwanaspoti linatambua licha ya Maxime kutotangazwa hadi sasa ila tayari amesaini mkataba wa miaka miwili huku akiwa…

Read More

Mwili waopolewa Ziwa Victoria, polisi wahusishwa

Muleba. Familia ya Baraka Lucas aliyekutwa amekufa, mwili ukielea juu ya maji katika Ziwa Victoria, imegoma kuuzika ikitaka Jeshi la Polisi kueleza chanzo cha kifo chake. Lucas (20), mwili wake umekutwa ziwani katika Kisiwa cha Goziba wilayani Muleba, mkoani Kagera. Kijana huyo aliyekuwa akifanya kazi ya kubeba dagaa wabichi katika mwalo kisiwani hapo, mwili wake…

Read More

Zimamoto yabadili upepo ubingwa ZPL

UPEPO umebadilika baada ya Zimamoto kupata ushindi wa tatu mfululizo ndani ya Juni katika Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL) na kuipumulia JKU inayoongoza msimamo wa ligi hiyo kwa muda mrefu, zikitenganishwa kwa pointi moja tu kwa sasa, huku zikisalia mechi za raundi mbili tu kufunga msimu. Ushindi huo wa juzi uliopatikana kwenye Uwanja wa Mao…

Read More

Mchezaji wa zamani wa Arsenal na Everton Kevin Campbell amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 54 baada ya kukimbizwa hospitalini.

Gwiji wa Arsenal na Everton Kevin Campbell amefariki dunia baada ya kukimbizwa hospitalini. Heshima za kihemko sasa zinamiminika kwa mzee huyo wa miaka 54 ambaye alifurahia kwa miongo miwili kucheza kandanda ya kulipwa na tangu wakati huo amekuwa mchambuzi. Campbell, mshambuliaji, aliichezea Arsenal mechi 213 kati ya 1988 na 1995, akifunga mabao 59 katika mashindano…

Read More