Sudan: Jeshi lasema kamanda mkuu wa waasi aliuawa.

Jeshi la Sudan lilitangaza kuwa Ali Yagoub Gibril, kamanda mkuu wa Kikosi cha Wanajeshi wa Rapid Support Forces (RSF) ambaye alikuwa chini ya vikwazo vya Marekani, aliuawa wakati wa makabiliano katika mji wa Darfur kaskazini uliozingirwa wa El Fasher. Jeshi lilisema kuwa Gibril alikuwa miongoni mwa mamia waliouawa na kujeruhiwa katika mapigano kati ya waasi…

Read More

Mkutano wa kilele wa amani wa Ukraine wafungua pazia Uswisi – DW – 15.06.2024

Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na viongozi wa Ujerumani, Italia, Uingereza, Canada na Japan ni miongoni mwa watakaohudhuria mkutano huo wa kilele wa siku mbili utakaofanyika kwenye eneo la mapumziko lenye milima la Buergenstock nchini Uswisi. India, ambayo iliisaidia Moscow kukabiliana na vikwazo vya uchumi vilivyowekwa na mataifa…

Read More

Sahara Ventures yaitangaza rasmi Sahara Sparks 2024

Sahara Ventures imetangaza rasmi tukio la Sahara Sparks 2024 litakalo fanyika tarehe 27 na 28 Septemba katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, Tanzania. Sahara Sparks ni jukwaa linalo waleta pamoja wabunifu mbalimbali wa teknolojia, wafanyabiashara pamoja na wadau mbalimbali wa maendeleo na teknolojia na kuwapa fursa ya kushiriki maonesho ya kibiashara pamoja na…

Read More

Ramaphosa achaguliwa kuwa Rais Afrika Kusini

Afrika Kusini. Bunge la Afrika Kusini limemchagua tena Cyril Ramaphosa kuwa rais wa nchi hiyo kufuatia makubaliano kati ya chama tawala cha African National Congress (ANC) na vyama vya upinzani. Serikali mpya ya umoja wa kitaifa inaunganisha ANC ya Ramaphosa, chama cha cha Democratic Alliance (DA) na vyama vidogo vidogo kikiwemo cha Inkhata Freedom Party….

Read More

WANANCHI WAMPA TANO MBUNGE BASHUNGWA KUFANIKISHA UJENZI BARABARA YA BUGENE-KASULO-KUMUNAZI

Na Mathias Canal, Karagwe-Kagera Wakazi wa Kijiji Cha Nyakahanga wilayani Karagwe Mkoani Kagera wameishukuru Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuimarisha ujenzi wa miundombinu ya barabara pamoja na madaraja. Wameipongeza Wizara ya Ujenzi Kupitia Wakala ya Barabara Tanzania -TANROADS kwa kuwajengea barabara inayounganisha wilaya…

Read More