Biteko ataka mafanikio yaendene na maisha bora ya watu

Dodoma. Naibu Waziri Mkuu, Dk Doto Biteko amesema mafanikio yanayoelezwa katika sekta za mafuta, umeme na gesi asilia lazima yaendane na kubadilisha maisha ya watu kuwa bora. Dk Biteko amesema hayo leo Ijumaa Juni 14, 2024  alipozindua taarifa za utendaji katika sekta ndogo za umeme, gesi asilia na mafuta kwa mwaka 2022/2023, huku akitoa maelekezo…

Read More

SERIKALI KUIMARISHA USTAWI WA WATU WENYE UALBINO

Na; Mwandishi Wetu – Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan itaendelea kuimarisha ustawi wa Watu wenye Ualbino nchini. Amesema kuwa, katika utoaji wa huduma kwa Watu wenye Ulemavu wakiwemo wenye Ualbino, Serikali imehakikisha kundi hilo wanapata haki zao…

Read More

Dk. Kikwete aahidi kushiriki Msoga Marathon Juni 29

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dk. Jakaya Kikwete ameahidi kushiriki katika mbio za hisani za Msoga Half Marathon, zitakazofanyika Juni 29,2024, kwa lengo la kuchangia Sh. milioni 330 za kununulia vifaa tiba ili kuboresha huduma ya mama na mtoto katika hospitali ya Msonga Wilaya ya Chalinze, mkoani Pwani. Akizungumza…

Read More

CCM Geita yapata pigo, diwani wake afariki

Geita. Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Geita kimepata pigo baada ya Diwani wa Kamena,  Peter Kulwa  kufariki dunia. Diwani huyo alikuwa akisumbuliwa na kisukari kwa muda mrefu. Kulwa amekuwa diwani wa tatu kupoteza maisha tangu kuanza kwa baraza la madiwani kwa kipindi cha 2020/24 akitanguliwa na aliyekuwa Diwani wa Bugalama, Masalu Luponya na Diwani…

Read More

Rais Mwinyi ateua kamishna, wakurugenzi

Unguja. Rais wa Zanzibar Dk Hussein Ali Mwinyi amefanya uteuzi wa kamishna na wakurugenzi katika wizara na taasisi za Serikali. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo Ijumaa Juni 14, 2024  na kusainiwa na Katibu Mkuu Kiongozi Zena Said inamtaja Omar Said Omar kuteuliwa kuwa Kamishna wa Usimamizi wa Sera za Ununuzi wa Umma katika…

Read More

Vyama vya ANC, DA vyakubaliana kuunda serikali Afrika Kusini – DW – 14.06.2024

Bunge jipya lililoapishwa nchini Afrika Kusini limekwishaanza mchakato wa kupiga kura ya siri kumchagua rais mpya atayeliongoza taifa hilo. Mchakato huo unafanyika huku taarifa zikitangazwa kwamba chama cha African National Congress ANC kimefikia makubaliano ya kuunda serikali ya Umoja wa Kitaifa na vyama vingine vitatu, ikiwemo wapinzani wao wakubwa wanaogemea zaidi sera za kibiashara cha…

Read More