TGNP, WADAU WA MAENDELEO WAICHAMBUA BAJETI YA SERIKALI

Na mwandishi wetu, Dar es Salaam Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) kwa kutambua umuhimu wa ushiriki wa wananchi katika michakato ya bajeti na michakato ya maendeleo kwa ujumla umekuwa ukishirikiana na wadau mbalimbali katika kuhakikisha kwamba wananchi wanashiriki ipasavyo katika michakato hiyo pamoja na kutathimini mipango ya maendeleo ya taifa letu. Hayo yamesemwa Ijumaa Juni…

Read More

Mkwabi avunja ukimya Simba, afichua shida iliopo

WAKATI hali ya sintofahamu ikiendelea ndani ya Simba ikiwamo kujiuzulu kwa baadhi ya viongozi, Mwenyekiti wa zamani wa klabu hiyo, Swedi Mkwabi  amevunja ukimya na kusema kinachoenelea sio sahihi na kuwataka viongozi wote kukaa chini na kumaliza tofauti zao ili kujenga umoja. Hivi karibuni wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba akiwamo mwenyekiti wake, Salim…

Read More

Serikali yawataka Wandishi wa Habari kuelimisha jamii Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Serikali imewataka Waandishi wa Habari nchini kutambua nafasi yao muhimu katika kuelimisha jamii ili kushiriki kikamilifu katika uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Akizungumza leo, Juni 14, jijini Dar es Salaam, katika semina iliyofanyika Ukumbi wa Mlimani City, Meneja wa Huduma za Utangazaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania…

Read More

Serikali yazungumzia nishati safi ya kupikia

Dar es Salaam. Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Khamis Hamza Khamis   amesema ajenda ya nishati safi ya kupikia inalenga kuokoa mazingira na kuiondoa Tanzania katika athari zaidi za mabadiliko tabianchi. Khamis amesema bado kuna watu wanaamini ili upike chakula kizuri ni lazima upike katika kuni na mkaa na wanaona kukata…

Read More

Farid: Huyu Gamondi ni masta

KIRAKA wa Yanga anayemudu kucheza kama winga na beki wa kushoto, Fardi Mussa amekiri Kocha Miguel Gamondi anastahili jina la Masta, kwani hana mchezo kabisa na amekuwa akiwasapraizi wachezaji kila inapokuja mechi kiasi mchezaji anayeharibu huwa inakula kwake mazima. Farid anafichua Gamondi yupo tofauti na Nasreddine Nabi aliyeinoa timu hiyo kwa miaka miwili na nusu…

Read More

Machumu azungumzia ushiriki  wa MCL katika kulinda mazingira

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Bakari Machumu amesema kampuni hiyo kwa sasa imejikita zaidi kwenye utengenezaji wa maudhui ya kidijitali kupitia mitandao yake ya kijamii. Amesema huo ni mkakati wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi kwa kuwa miti imekuwa ikitumika kutengeneza karatasi ambazo ni bidhaa inayotumika kuzalisha magazeti. Hata hivyo, amesema…

Read More

TFF yakunjua makucha Ligi Kuu ya Wanawake

TIMU ya Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), Ceasiaa Queens imelimwa faini ya Sh 2 milioni na baadhi ya maofisa na wachezaji wa timu hiyo kuadhibiwa kwa kosa la kufanya vurugu na kuvunja pambano la ligi hiyo iliyokuwa imeshinda kwa mabao 2-1 dhidi ya Alliance Girls. Pambano hilo lililopigwa Juni 11, kwenye Uwanja wa CCM Kirumba,…

Read More