Putin atoa suluhu iwapo Ukraine itaondoka katika maeneo yanayodaiwa na Urusi.

Rais wa Urusi Vladimir Putin aliahidi Ijumaa “mara moja” kuamuru kusitishwa kwa mapigano nchini Ukraine na kuanza mazungumzo ikiwa Kyiv itaanza kuondoa wanajeshi katika maeneo manne yaliyotwaliwa na Moscow mwaka 2022 na kuachana na mpango wa kujiunga na NATO. Ukraine ilijibu kwa kuliita pendekezo la Putin “la ghiliba” na “upuuzi.” Matamshi ya Putin yalikuja wakati…

Read More

MCL yajikita kuhamasisha uelewa wa  mabadiliko ya tabianchi kidijitali

Dar es Salaam.  Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) imeahidi kuendelea kutoa maudhui katika kuhamasisha uelewa wa mabadiliko ya tabianchi kidijitali. Haya yalielezwa na Mhariri Mtendaji Mkuu wa MCL, Victor Mushi kwenye Kongamano la Jukwaa la Fikra linalowakutanisha wadau mbalimbali wa mazingira kujadili changamoto za mabadiliko ya tabianchi.  Jukwaa hili linajadili mada isemayo: “Safari kuelekea…

Read More

Italia inataka mataifa ya G7 yawekeze zaidi Afrika. – DW – 14.06.2024

Viongozi wa kundi la nchi tajiri kiviwanda duniani,G7, wanaendelea na mkutano wao kwa siku ya pili leo, utakaojikita kwenye suala la Uhamiaji. Katika ajenda hiyo watajielekeza zaidi kutafuta njia za kukabiliana na biashara ya usafirishaji watu pamoja na kuongeza uwekezaji katika mataifa wanakotokea wahamiaji. Picha: Yara Nardi/REUTERS Jana katika ufunguzi wa mkutano huo waziri mkuu…

Read More

Wadau watoa angalizo ushuru malighafi za kutengeneza pedi

Dar es Salaam. Wadau wamepongeza hatua ya Serikali ya kuondoa ushuru wa forodha kwenye malighafi za kutengeneza taulo za kike, huku wakishauri hatua zichukuliwe kuhakikisha bidhaa hizo zinapatikana kwa gharama nafuu. Kwa muda mrefu kumekuwapo kilio cha gharama za juu za taulo za kike hali inayosababisha mabinti hususani wanafunzi kushindwa kumudu, hivyo baadhi kutohudhuria masomo…

Read More

Vasa avunja ukimya!! Amvuta Crayon kutoka Mavin

Msanii anayekuja kwa kasi, kutoka Nigeria, Vasa amerejea kwa kishindo, kwa kuachia wimbo wake mpya uitwao “Trabaye”, ambao amemshirikisha msanii wa muziki kutoka lebo ya Mavin, Crayon. Wimbo huu ni miongoni mwa ngoma za mkali huyo zilizopo kwenye project yake ijayo iitwayo Vasa, Book Of Vasa’’ ambayo itatoka wiki chache zijazo. Vasa anayejulikana kwa nyimbo…

Read More

TUME ya Madini yawataka watumishi wake licha ya kutumia muda mwingi kufanya kazi kutenga na muda wa mazoezi

TUME ya Madini imewataka watumishi wake nchini kutumia muda mwingi kufanya kazi huku wakitenga muda wa kufanya mazoezi na kushiriki michezo mbali mbali ili kuimarisha afya ya mwili kupambana na magonjwa yasiyoambukiza. Akizungumza leo Juni 14, 2024 kwa niaba ya Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini Mhandisi Yahya Samamba, Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Migodi na…

Read More