Wanaume na hatari ya saratani ya koo

Dar es Salaam. Iwapo unapenda vilevi, ikiwemo pombe kali, nyama choma, sigara, pilipili na mapenzi ya kwa njia ya mdomo, unajiweka hatarini kupata ugonjwa wa saratani ya koo. Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, tafiti zinaonyesha wanaume wana uwezekano wa kupata saratani ya koo mara tatu zaidi ya wanawake. Saratani hii ambayo hutokea nyuma ya…

Read More

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kushirikiana na waandishi wa habari kutoa elimu juu ya uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi,kupitia mwenyekiti wake Jaji (Rufaa) Jacob Mwambegele, ameeleza kuwa Tume inatambua na kuheshimu mchango wa vyombo vya habari, hasa vya kijamii na kijitali, katika kuwafikia vijana ambao ni walengwa muhimu wa zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura. Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Juni…

Read More

Kagera Sugar inataka wapya 10

KAGERA Sugar inajipanga kuboresha kikosi chake kwa kupitisha panga kali ili kufanya vizuri msimu ujao, huku benchi la ufundi chini ya Fredy Felix ‘Minziro’ likipendekeza kuletewa wachezaji wapya 10. Timu hiyo ilimaliza katika nafasi ya 10 msimu ulioisha ikivuna pointi 34, huku ikilazimika kufanya maajabu katika mchezo wa mwisho kwa kushinda ugenini dhidi ya Singida…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Ujasiri wa Ouma Coastal uhamie CAF

NIMEPATA stori moja ya kusisimua inayomhusu kocha wa Coastal Union ya Tanga, David Ouma ambaye ameiongoza timu hiyo kumaliza katika nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi. Wakati alipojiunga nayo kuchukua mikoba ya Mwinyi Zahera aliyekuwa ametimuliwa, uongozi wa Coastal Union ulimpa Ouma jukumu la kuhakikisha timu hiyo inasalia Ligi Kuu. Lakini kwa mshangao kocha…

Read More

Yanga yashtuka usajili mpya, yajitafakari

YANGA wameamua kurudi nyuma kwanza kuangalia kuna ulazima gani wa kusajili kiungo mkabaji mzawa ikiwa kuna uwezekano wa kuendelea kubaki na Jonas Mkude na Zawadi Mauya ambao watashirikiana vema na Khalid Aucho raia wa Uganda. Wakakubaliana na wazo la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi kwamba wanaweza kusubiri dirisha kubwa lipite na kutumia kipindi hiki kutafuta mtu…

Read More

Dk Mwigulu atamani nembo ya Yanga kwenye noti ya Sh100

Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema kwa mafanikio ambayo timu ya Yanga imeyapata anatamani kumshauri Gavana wa Benki Kuu (BoT) kuweka nembo ya klabu hiyo kama kungekuwa na noti ya Sh100 kuyaenzi mafanikio hayo. Dk Mwigulu ametumia sehemu ya hotuba yake ya uwasilishaji wa Bajeti ya Serikali 2024/25 ya Sh49.3 trilioni jana Alhamisi, Juni…

Read More

Aucho aanika mipango yake 2024/25

KIUNGO mkabaji wa Yanga, Khalid Aucho amesema anautumia muda wake wa mapumziko kuhakikisha anarejea kwenye utimamu wa mwili, ili msimu ujao awe fiti na kufanya makubwa Ligi Kuu Bara. Msimu ulioisha Aucho aliumia goti  mechi ya ugenini ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Al Ahly ya Misri, ambapo alifanyiwa upasuaji mdogo wa goti, kitu kulichomfanya…

Read More