JINSI YA KUCHEZA NA KUSHINDA KIRAHISI AVIATOR KASINO

KUNA ile michezo mingine ya kasino, halafu kuna Aviator ya Meridianbet usipime aiseeh inatoa washindi kirahisi sana, mchezo huu unapatika kwenye kasino ya mtandaoni, kama ulikuwa unatufta njia rahisi ya kupiga mkwanja mrefu kasino, basi kiu yako imepata maji, cheza Aviator sasa utaona maajabu yake. Mchezo huu unahusisha urushaji wa ndege, sasa wewe ndiyo unapaswa…

Read More

Kailima ataja sababu wajumbe wa INEC kutojiuzulu

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imesema hakuna kifungu chochote cha sheria kinachotaka watumishi wake kujiuzulu kwenye nafasi zao kupisha mchakato wa kupatikana wajumbe wapya. Amesema kuna uhalali wa kisheria unaowafanya watumishi hao waendelee kuwapo kwenye nafasi hizo. Kauli ya INEC, inajibu msimamo wa Chama cha ACT-Wazalendo unaotaka watumishi wa tume…

Read More

Serikali yaagiza kuwachukulia hatua wanaohatarisha Muungano

Dar es Salaam. Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amevitaka vyombo vya dola na mamlaka husika kuwaonya na kuwachukulia hatua baadhi ya wanasiasa wanaotoa kauli zinazoashiria kuhatarisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Dk Mwigulu ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Juni 13, 2024 wakati akiwasilisha bajeti ya Serikali kwa mwaka 2024/25 bungeni jijini Dodoma, akisema katika…

Read More

Gesi asilia, petroli kodi juu

Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba amependekeza kufanya marekebisho kwenye Sheria ya Ushuru wa Barabara na Mafuta, Sura 220 ili kutoza Sh 382 kwa kila kilo ya gesi asilia inayotumika kwenye magari. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Amesema lengo la hatua hiyo ni kuongeza mapato yatakayotumika katika kufanya matengenezo ya barabara pamoja na kuleta usawa…

Read More

Bei ya gesi asilia ya kwenye magari yapaa

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imependekeza ongezeko la Sh382 kwa kila kilo moja ya gesi asilia inayotumika katika magari kwa ajili kuongeza mapato yatakayotumika kufanya matengenezo ya barabara. Kutokana na ongezeko kilo moja ya gesi asilia itauzwa Sh1932 kutoka Sh1550 ya awali. Hayo yamesemwa leo Alhamisi, Juni 13, 2024 bungeni jijini Dodoma na Waziri…

Read More

MZEE WA MIAKA 62 AFUNGWA JELA MAISHA KWA KULAWITI

Mahakama ya hakimu Mkazi Wilaya ya Lindi imemuhukumu Mohamed Said Selemani mwenye umri wa miaka 62 mkazi wa kijiji cha Ng’apa wilaya ya Lindi, kwenda jela kutumikia kifungo cha maisha na kumlipa muhanga fidia ya shilingi 1,000,000 kwa kosa la kumlawiti mtoto wa miaka 4 jinsia ya kiume. Mtuhumiwa alitenda kosa hilo Aprili 22,2024 huko…

Read More