SBL yakabidhi mradi wa maji kwa wakazi 12,000 kijiji cha Kabila, Magu

  KAMPUNI ya Bia Serengeti na shirika lisilo la kiserikali, African Community Advancement Initiative (AFRIcai) wamezindua  mradi wa maji wenye thamani ya shilingi milioni 215  katika Kijiji cha Kabila wilayani Magu mkoani Mwanza ikiwa ni jitihada za kuwapelekea maji safi na salama wananchi wa eneo hilo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mwanza … (endelea). Ukiwa na uwezo kwa  kuhudumia wakazi…

Read More

Vipaumbele 2024/25 vya Tanzania hivi hapa

Dar es Salaam. Waziri wa Fedha wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba amesema miongoni mwa maeneo yatakayopewa kipaumbele katika bajeti ya Serikali ya mwaka 2024/25 ni pamoja na kukamilisha miradi ya kielelezo na kimkakati. Maeneo mengine ni pamoja na kuimarisha rasilimali watu hasa sekta za huduma za jamii, kuongeza matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano…

Read More

SBL yakabidhi mradi wa maji kwa wakazi 12,000 Kijiji cha Kabila, Wilaya ya Magu – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda (Katikati), Mkuu wa Wilaya ya Magu Joshua Nassari (Kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Serengeti Breweries Obinna Anyalebechi (Kushoto) wakiwa mbele ya moja kati ya vituo 13 vya usambazaji wa maji kijijini hapo. Magu, Juni 13, 2024. Kampuni ya Bia Serengeti na shirika lisilo la kiserikali, African Community…

Read More

Matukio haya yanaishi Euro | Mwanaspoti

MUNICH, UJERUMANI: MICHUANO ya Euro mwaka huu inaanza kesho, ambapo itapigwa Ujerumani, huku jumla ya timu 24 zikitarajiwa kushiriki. Hii inakuwa ni mara ya 17 kwa michuano hii kufanyika huku Hispania na mwenyeji Ujerumani yakiwa ndio mataifa yaliyoshinda mara nyingi zaidi (3), tangu mwaka 1958. Mara zote ambazo michuano hii inapigwa huwa kuna baadhi ya…

Read More

Marufuku kutumia fedha za kigeni kulipia huduma Tanzania

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imepiga marufuku ya malipo ya huduma kwa kutumia fedha za kigeni kuanzia Julai Mosi 2024 huku akieleza mwongozo wa suala hilo utatolewa baadaye. Hatua hiyo inatangazwa ili kuondoa usumbufu ambao wanakutana nao baadhi ya watu wanaohitaji huduma kuhangaika kutafuta fedha za kigeni hasa katika kipindi hiki ambacho zinapatikana kwa…

Read More

Wakulima wa miwa Kilombero wang’atwa sikio

Morogoro. Vyama vya Wakulima wa Miwa (Amcos) katika Bonde la Kilombero vimetakiwa kuongeza uzalishaji wa miwa kutoka tani 20 kwa heka hadi tani 60 kwa heka ili kufanikisha upanuzi wa kiwanda cha sukari cha Kilombero. Wito huu umetolewa na Mrajisi Msaidizi wa Mkoa wa Morogoro, Kenneth Shemdoe, katika warsha iliyofanyika leo Alhamaisi Juni 13, 2024….

Read More

VAR kutumika Ligi Kuu Bara

Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema kuanzia msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, viwanja vitakavyotumika kwa michuano hiyo vitafungwa teknolojia inayomsaidia mwamuzi kufanya marejeo ya picha (Video Assistance Referee-VAR) kwa ajili ya kuhakikisha matokeo yanayopatikana yanakuwa ya haki. Amesema katika kuhakikisha hilo linafanikiwa, Serikali inakusudia kuwasilisha pendekezo la kuondoa kodi kwenye vifaa vinavyotumika kwenye…

Read More