Mmiliki wa duka mbaroni akidaiwa kumlawiti mtoto wa miaka 14
Iringa. Jeshi la Polisi mkoani Iringa linamshikilia mmiliki wa duka, Blass Nicholous (35) maarufu Matowa mkazi wa Mtaa wa Kitasengwa, Kata ya Isakalilo Manispa Iringa kwa tuhuma za kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka 14. Mfanyabiashara huyo anatuhumiwa kumlawiti mtoto huyo ambaye ni mhitimu wa darasa la saba mwaka jana, baada ya kumpa kazi ya…