TUNAWASAIDIA WAWEKEZAJI WAZAWA KUWA MAHIRI-WAZIRI MKUU

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kuwajengea uwezo Watanzania wanaojishughulisha na masuala ya uwekezaji na kuweka mazingira wezeshi ili kuwasaidia wawe mahiri. Amesema kuwa sera za uwekezaji nchini zinatoa unafuu kwa watanzania kuingia kwenye uwekezaji na Serikali itaendelea kufanya maboresho ili wapate nafasi ya kuwekeza. Amesema hayo leo Alhamisi (Juni 13, 2024) wakati akijibu…

Read More

Edin Terzić anaondoka Borussia Dortmund.

Edin Terzić, kocha mkuu wa zamani wa Borussia Dortmund, alitangaza kuachana na klabu hiyo kwa ujumbe mzito kwa mashabiki. Terzić alielezea shukrani zake kwa nafasi ya kuiongoza timu hiyo kupata ushindi katika DFB-Pokal na kufanya vyema katika Ligi ya Mabingwa. Kuondoka kwake kunaashiria mwisho wa enzi ya Borussia Dortmund huku wakitarajia kuhama chini ya uongozi…

Read More

Vita ya Aziz KI, Fei Toto yahamia Ligi ya wanawake

ACHANA na ubingwa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) uliobebwa na Simba Queens, unaambiwa ligi hiyo haijaisha kwenye vita ya kimya kimya ya kuwania kiatu cha Mfungaji Bora wa msimu huu. Kama ilivyokuwa Ligi Kuu Bara kwa Mfungaji Bora kupatikana katikae mechi za mwisho, ndivyo ilivyo kwa WPL ambayo mechi mbili zilizosalia kabla ya kufungia msimu zitaamua…

Read More

Tamaa ya fedha inavyochangia ongezeko la talaka – 4

Dar es Salaam.  “Talaka zina madhara, maana watoto wanahangaika, mimi najitafuta hakuna hata mtoto mmoja anayejuliwa hali na baba yake. Je, kwa wasiokuwa na uwezo wa kuhangaika wanaishije? Nikiona hali ngumu nakwenda kutafuta maisha nje ya nchi. Tofauti na hapo, watoto wangekuwa wanateseka,” anasema Saadia. Anasema hata nyumba anayoishi sasa ameijenga kwa fedha za mikopo…

Read More

Mbunge akerwa majibu ya Serikali kujirudia yaleyale

Dodoma. Mbunge wa Kibiti, (CCM), Twaha Mpembenwe amekerwa na majibu ya Serikali yanayofanana kwa miaka minne mfululizo kuhusu ujenzi wa Barabara ya Kibiti, Dimani hadi Mloka. Mpembenwe ameeleza hayo leo Alhamisi Juni 13, 2024 wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni jijini Dodoma. “Mheshimiwa Naibu Spika, mwaka 2021 nimeuliza swali hili majibu ni haya…

Read More

Wanaume vinara idadi ya watafuta kazi ikiongezeka

Dar es Salaam. Serikali kupitia Kitengo cha Huduma za Ajira ilisajili watu wanaotafuta kazi 17,107 katika mwaka 2023 ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 62.3 la watafuta kazi waliokuwapo mwaka uliotangulia. Hiyo ni baada ya watafuta kazi 10,540 kusajiliwa mwaka 2022 na kupatiwa ushauri nasaha kuhusu uchaguzi wa kazi na mafunzo ya kushindania fursa…

Read More