Kagera kuachana na umeme wa Uganda, Sh30 bilioni kuokolewa

Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema kiasi cha Sh2.6 bilioni zitaokolewa kwa mwezi ambazo ni zaidi ya Sh30 bilioni kwa mwaka zinazotumiwa kununua umeme nchini Uganda unaotumika mkoani Kagera. Hatua ya kuokoa fedha hizo imekuja kufuatia Tanesco kusaini mkataba na Mhandisi mshauri kutoka nchini Misri (Shaker Consultancy Group) atakayesimamia ujenzi wa mradi…

Read More

Mzambia alia na kina Bacca

KOCHA wa Zesco United ya Zambia,  George Lwandamina ameshangaa kuona mabeki wawili wa Taifa Stars na Yanga nahodha Bakari Mwamnyeto na Ibrahim Hamad ‘Bacca’, wakiendelea kucheza soka la ndani kutokana na ubora walionao, huku akifichua kilichomfanya aondoke uwanjani wakati wa mechi ya Zambia na Tanzania. Akizungumza kwa njia ya simu kutoka Ndola, Zambia mara baada…

Read More

Bajeti 2024/25 ipunguze matumizi ya taslimu kuongeza mapato

Wakati mapendekezo ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2024/2025 yanasomwa leo, moja ya matarajio ni ya wadau ni kuunda sheria ya kupunguza matumizi ya fedha taslimu nchini. Pia, inatarajiwa Serikali itakuja na mkakati wa kupunguza utitiri wa kodi kama zilivyolalamikiwa na wabunge. Wabunge kadhaa, ikiwamo Kamati ya Bunge ya Bajeti wanatarajia ushauri wao…

Read More

TPDC yaimarisha huduma za kijamii katika maeneo ya Gesi Asilia

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) linaendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuboresha huduma za kijamii kwenye maeneo ambako shughuli za utafutaji, uzalishaji, usafirishaji na usambazaji wa gesi asilia zinafanyika. Huduma mbalimbali za kijamii kama afya, elimu, maji na utawala bora zinaimarishwa kama sehemu ya Uwajibikaji wa Shirika…

Read More

Mkutano wa kilele wa G7 unafungua pazia Italia – DW – 13.06.2024

Waziri Mkuu wa Italia Giorgia Meloni anaingia kwenye mkutano wa kilele wa G7 akiwa ameimarishwa na matokeo mazuri katika uchaguzi wa Ulaya Jumapili iliyopita. Italia ndiyo mwenyeji wa mkutano huo wa  “Grande Sette”, kama kundi la G7 linavyojulikana kwa Kiitaliano. Meloni mwenyewe alisaidia kuunda maelezo mengi mwenyewe wakati wa kuandaa “mkutano wake,” kama anavyouita. Mbali na…

Read More