WAKURUGENZI, MAAFISA ELIMU NA MAAFISA UTUMISHI SHIRIKIANENI KUTATUA KERO ZA WALIMU NCHINI
Naibu katibu Mkuu, Ofisi ya Rais TAMISEMI (Elimu) Dkt Charles Msonde amewaelekeza wakurugenzi wa Halmashauri kote nchini kushirikiana na maafisa Elilmu na maafisa Utumishi wa Halmashauri kutatua kero mbali mbali zinazowakabili walimu kote nchini. Dkt. Msonde ametoa maelekezo hayo katika kikao cha Pamoja kati ya walimu wa shule za msingi na sekondari, Wakuu wa Shule…