Mavunde azindua timu ya kuandaa andiko la VISION 2030

*Prof. AbdulKarim Mruma kuongoza timu *Wapewa Hadidu za Rejea 14 muhimu kujenga uchumi wa nchi kupitia madini *Tanzania kufanya Utafiti wa eneo la asilimia 50 nchi nzima kufikia 2030 Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde amezindua Timu itakayoandaa Andiko la maudhui ya Vision 2030: Madini ni Maisha na Utajiri katika…

Read More

Chongolo: Ajenda ya lishe iwe ya kudumu Songwe

Songwe. Mabaraza ya madiwani mkoani Songwe yametakiwa kubeba ajenda ya lishe kwenye vikao ili kukabiliana na tatizo la udumavu na utapiamlo kwa watoto chini ya miaka mitano unaoukabili mkoa huo. Wito huo umetolewa leo Juni 12 na mkuu wa mkoa huo Daniel Chongolo kutokana na takwimu kuonyesha kuwa asilimia 31.9 ya watoto chini ya umri…

Read More

Compact Energies yapigia debe matumizi ya Umeme Jua

Watanzania wametakiwa kuunga mkono jitihada za Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuuhamasisha umma juu ya matumizi ya nishati mbadala ukiwemo Umeme Jua ili kutunza mazingira na kuokoa gharama za maisha. Akiongea wakati wa maonesho ya kimataifa ya Kili Fair Arusha yenye lengo la kusaidia pia ukuaji wa sekta ya utalii, Meneja wa Masoko…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Mzamiru ana jambo lake Simba

KLABU ya Simba iko kwenye mazungumzo ya kumuongezea mkataba mpya wa miaka miwili kiungo nyota wa kikosi hicho, Mzamiru Yassin. Mkataba wa kiungo huyo wa zamani wa Mtibwa Sugar aliyemaliza msimu akiwa na asisti nne umefikia ukingoni na tayari wawakilishi wa Mzamiru wameanza mazungumzo ili asaini dili jipya na miamba hiyo. Klabu mbalimbali za Azam…

Read More

Diplomasia ya Kiuchumi yainadi Tanzania Kimataifa

*Marekani yasaka fursa uwekezaji Sekta ya Nishati *Dk. Biteko ataja maono ya Rais Samia kiini cha ujio wa wawekezaji Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Doto Biteko amekutana na Naibu Waziri wa Nishati wa Marekani, David Turk, kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo uwekezaji katika Sekta ya Nishati nchini. Mkutano huo…

Read More

Wakazi wa Gairo walia ukosefu wa maji safi

Gairo. Wakazi wa Kijiji cha Ngiloli kilichopo katika Wilaya ya Gairo mkoani Morogoro wameiomba Wakala wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa) wilayani humo kuwafikishia huduma za maji kwenye ili kuondokana na adha wanayoipata. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Juni 12, 2024, mkazi wa kijiji cha Ngiloli, Mariam Elias amesema ukosefu wa huduma…

Read More