THBUB YAKUTANA NA KATIBU TAWALA TABORA
Leo Juni 12, 2024 Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imekutana na Kufanya mazungumzo na Katibu Tawala Mkoa wa Tabora Dkt John Mboya. Ujumbe wa THBUB uliongozwa na Mhe.Mohamed Khamis Hamad, Makamu Mwenyekiti wa THBUB. Katika ziara hiyo Mhe. Mohamed aliambatana na Mkurugenzi Msaidizi na Maafisa wa THBUB. Mhe.Mohamed alieleza kuwa lengo…