Makundi maalumu yapewa neno INEC ikijiandaa kwa uchaguzi

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeyataka makundi maalamu, wakiwamo watu wenye ulemavu kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapigakura, kutokana na mifumo kuboreshwa. Tume imesema wapigakura wengi wamekuwa hawajiandikishi, wakiwamo wenye ulemavu, wajawazito na wenye watoto wachanga. Hayo yameelezwa leo Jumanne Juni 11, 2024 na Mwenyekiti wa INEC, Jaji…

Read More

MO arejea na mambo Sita Simba

Saa chache baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba Salim Mhene ‘Try Again’ kujiuzulu nafasi hiyo, mwekezaji za klabu hiyo Mohammed Dewji ‘MO’ ameibuka na mambo sita huku akitangaza kurejea kwenye nafasi hiyo. Mapema leo jioni, Try Again alitangaza rasmi kujiuzulu nafasi hiyo, kufuatia changamoto zilizoikumba klabu hiyo ikianguka kwa matokeo kwa kushika nafasi…

Read More

UBIA WA TWIGA MINERALS NA BARRICK WAZIDI KULETA MANUFAA, YATOA GAWIO LA SHILINGI BILIONI 53.5 KWA SERIKALI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh.Dkt.Samia Suluhu Hassan akipokea hundi ya gawio kutoka kwa Meneja wa Barrick nchini,Melkiory Ngido (Kulia) Baadhi ya viongozi wa taasisi mbalimbali katika hafla hiyo Viongozi wa taasisi mbalimbali na wageni waalikwa katika hafla hiyo.   Katika kudhihirisha kuwa ubia kati ya kampuni ya Barrick Corporation na Serikali ya Tanzania…

Read More

Puma Tanzania watoa gawio la bilioni 12.2 kwa Serikali

KAMPUNI ya Mafuta ya Puma Tanzania imetoa gawio la Sh. 12.2 bilioni kwa Serikali na kuahidi kuendelea kuboresha huduma zake ili kufanya vizuri zaidi. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Puma wamekabidhi gawio hilo leo Jumanne Ikulu jijini Dar es Salaam mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan. Kampuni hiyo ni moja ya 10 zilizowasilisha gawio kwa Serikali ambazo…

Read More

Bakita kuongoza maadhimisho Wiki ya Kiswahili

Dar es Salaam. Baraza la Kiswahili Tanzania (Bakita) linatarajiwa kuadhimisha juma la Kiswahili ambalo litaangazia fursa za maendeleo ya lugha hiyo duniani. Wanazuoni na wageni kutoka nje wanatarajiwa kueleza namna wanavyojifunza Kiswahili. Bakita limetenga siku sita kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya Kiswahili yanayobebwa na kaulimbiu ‘Fursa za maendeleo ya kugha ya Kiswahili.’ Maadhimisho…

Read More

DKT SAMIA KUTOA ZAIDI YA BILIONI 1.6 KILA MWAKA ILI VIJANA WA KITANZANIA KUPATA MAFUNZO YA UFUNDI STADI VETA MKOA WA DODOMA.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Kaimu Mkurugenzi wa Chuo Cha Ufundi Veta Kanda ya Kati Bwana Mataka Ramadhani Mataka akieleza mafanikio ya Miaka mitatu ya Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa Raisi huyo anatoa zaidi ya Shilingi Bilioni 1.6 kila mwaka kwa Veta Mkoa wa Dodoma ili Vijana wa Kitanzania waweze kupata mafunzo ya ufundi…

Read More

Wazir Junior aizamisha Chipolopolo kwao

BAO la Straika wa Taifa Stars, Wazir Junior mapema tu dakika ya 5, limetosha kuizamisha Zambia nyumbani kwao katika mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 uliochezwa leo Jumanne Juni 11, 2024. Mchezo huo wa Kundi E uliochezwa Uwanja wa Levy Mwanawasa uliopo Zambia, Taifa Stars ilitumia vyema shambulizi lao la kwanza dakika ya…

Read More