PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 12,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 12,2024 Featured • Magazeti About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 12,2024 Featured • Magazeti About the author
Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendego, amekataa kuzindua bweni la Wanafunzi wa kike katika shule ya Sekondari Mtekente iliyopo Wilayani Iramba baada ya kubaini kuwa ujenzi huwa wa bweni pamoja na jiko yaliyojengwa na Kampuni inayojishughulisha na ununuzi wa pamba Biosustain mkoani humo kwa zaidi ya shilingi milioni 180 yamejengwa chini ya Kiwango. Kufutia…
Benki ya NMB imetoa gawio la Sh. 57.4 bilioni kwa Serikali ambayo ni kiashiria cha azma ya kuleta tija na faida kubwa kwa wawekezaji wao wote, ikiwemo Serikali yenye umiliki wa asilimia 31.8 katika benki hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Gawio hilo lililotolewa na NMB ndilo gawio kubwa lilitolewa na taasisi za kibiashara ambazo Serikali…
Benki ya NMB imetoa gawio la Tsh. Bilioni 57.4 kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo ni kiashiria cha azma ya kuleta tija na faida kubwa kwa wawekezaji wao wote, ikiwemo Serikali yenye umiliki wa 31.8% katika Benki yetu. Kwa mwaka huu, hili ni Gawio kubwa zaidi kutolewa kwa Serikali ya…
Na Nora Damian, Mtanzania Digital Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Mohamed Kawaida ameiomba Serikali kuchunguza maudhui yaliyomo katika Mtandao wa X (zamani Twitter) kwa kile alichodai kuwa yanakwenda kinyume na mila na desturi za Watanzania. Hivi karibuni mtandao huo ulitangaza kuwa kuanzia sasa umeruhusu rasmi watu kuonyesha na kuweka maudhui…
Akizungumza katika bunge la Ujerumani, Bundestag, Jumanne (11.06.2024) rais Zelensky amewaambia wabunge wa Ujerumani kwamba sasa wanaweza kuelewa kwa nini WaUkraine wanapambana sana dhidi ya juhud za Urusi kuwagawanya, na kuigawa Ukraine. “Mnayajua haya kutokana na uzoefu wenu wenyewe na ndio maana mnaweza kutuelewa sisi WaUkraine. Mnaweza kuelewa kwa nini tunapigana kwa nguvu nyingi dhidi…
Rafah. Jeshi la Israel (IDF) limethibitisha vifo vya wanajeshi wanne vilivyotokana na mlipuko uliotokea Juni 10, 2024 wakati wa mapigano kati yao na Hamas, eneo la Rafah Kusini mwa Gaza. IDF imewataja wanajeshi hao kuwa ni Sajenti Eitan Karlsbrun (20), Meja Tal Pshebilski Shaulov (24), Sajenti Yair Levin (19) na Sajenti Almog Shalom (19) waliokuwa…
Na. Peter Haule, WF, Dodoma Waziri wa Fedha m, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amemshauri Mbunge wa Ngara, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro kushirikiana na Mamlaka husika ili kuangalia uwezekano wa ujenzi wa Kituo cha Forodha cha Mugoma, mkoani Kagera baada ya kujiridhisha pasipo shaka iwapo eneo hilo linafaa kwa ujenzi wa Kituo hicho. Mhe….
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akijibu maswali bungeni wakati wa Kikao cha 45 Mkutano wa 15 wa Bunge jijini Dodoma leo Juni 10, 2024. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akizungumza na Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba wakati wa Kikao…
Moja ya taarifa iliyoshangaza ambao bado ni mashabiki wa lanez ni baada ya mkewe Raina Nancy Chassagne kuomba talaka kutoka kwa Tory Lanez, ambaye jina lake halisi ni Daystar Shemuel Shua Peterson, takriban mwaka mmoja baada ya kufunga pingu za maisha. Kulingana na hati za korti zilizopatikana na People mnamo Jumatatu, Juni 10, mke wa…