BALOZI MUSSA AWAASA VIJANA KUWA MABALOZI WAZURI NJE YA NCHI

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Shaib Mussa amewaasa vijana waliochaguliwa kushiriki katika programu ya mafunzo ya uongozi kwa vijana maarufu kwa jina la “Mandela Washington Fellowship for Young African Leaders” kuwa mabalozi wazuri katika mafunzo hayo yanayotarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 18 Juni, 2024 jijini Washington,…

Read More

Kuolewa, kuachika kulivyo mzigo wa talaka kwa wanawake – 3

Tatu Abdallah, mkazi wa Mikindani Mtwara, anasema, “Nimegundua wanaume siku hizi wana tabia mbaya, hasa hawa wanaojifanya wanakwenda kutafuta maisha. Wakifika huko wakipata wanawake, hata kama wana kipato, wanafanya makusudi kutokukuhudumia ili udai talaka kwa hiari yako. Anasema wengi hawahudumii wake na watoto hali aliyosema inachochea wanawake kudai talaka. “Bora uwe msela udange kwa halali…

Read More

RAFIKI WA MWALIMU NI MWALIMU MWENZAKE – DKT. MSONDE

Naibu katibu Mkuu, Ofisi ya Rais TAMISEMI (Elimu) Dkt Charles Msonde amewataka walimu wa shule za msingi na sekondari kuwa na tabia ya kupendana wao kwa wao na kuwa marafiki kwa kushirikiana katika maeneo mbalimbali ili kuweza kudfanikisha mambo yao kwa Pamoja. Dkt. Msonde amesema haya katika kikao cha Pamoja kati ya walimu hayo, Maafisa…

Read More

VIDEO: Asimulia masaibu kuchomwa moto sehemu za siri na mumewe

Mtwara.  Hakika sio rahisi kusikiliza simulizi ya Elizabeth Hashim (38),  mkazi wa kijiji cha Makong’onda Wilayani Masasi mkoani Mtwara. Moja ya matukio makubwa ya ukatili aliyopitia kwenye ndoa yake ni kuchomwa moto sehemu zake za siri na baada ya kujiuguza na kupona, akaingizwa panga. Ilifika hatua mwanamke huyo aliona kuwa kipigo, manyanyaso na mateso kwenye…

Read More

Axel Witsel bado yupo sana Atletico Madrid

KIUNGO Axel Witsel, 35, ambaye amerejea tena kutoka kustaafu ili kuichezea Ubelgiji katika michuano ya Euro, amefikia makubaliano ya kuongeza mkataba mpya wa kuendelea kusalia kwenye viunga vya Atletico Madrid. Mabosi wa Atletico wamevutiwa na kiwango cha Witsel alichoonyesha msimu uliomalizika ambapo alicheza mechi 51 za michuano yote. NEWCASTLE inapambana kuhakikisha inaipata saini ya beki…

Read More

WASTAAFU WAASWA KUWA MAKINI NA MATAPELI

Afisa Mkuu Mwandamizi Idara ya Uendeshaji wa Sekta ya Fedha, Bw. Salim Kimaro akitoa elimu ya kujipanga kuhusu maisha ya kustaafu iliyofanyika katika Ukumbi wa Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa. Na. Eva Ngowi, WF, Rukwa Serikali imewaasa Wastaafu na Wastaafu watarajiwa kuwa makini na matapeli, kuanzisha biashara wasizokuwa na uzoefu…

Read More