Aziz KI avunja ukimya ishu yake Yanga, aanika usajili wa Dube

KIUNGO wa Yanga, Stephane Aziz KI, amevunja ukimya juu ya yeye kuendelea kusalia ndani ya kikosi hicho, huku akifichua jambo kubwa kumuhusu straika Mzimbabwe, Prince Dube aliyekuwa akiitumikia Azam. Aziz KI amesema msimu ujao atakuwa ndani ya Yanga kuhakikisha anawasaidia washambuliaji kuwania tuzo ya ufungaji bora. KI amebainisha kwamba, katika kuwasaidia washambuliaji hao, mmoja kati…

Read More

Hat trick ya 7 yapigwa Zenji, Uhamiaji ikiizamisha Kipanga

LIGI Kuu ya Zanzibar (ZPL) iliyopo ukingoni imeendelea tena jioni ya leo, ikishuhudiwa hat trick ya saba ikifungwa visiwani humo, wakati Uhamiaji ikiizamisha Kipanga kwa mabao 3-2 katika mechi kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Amaan A, mjini Unguja, huku Malindi ikitakata mbele ya Mafunzo kwa bao 1-0. Mchezaji aliyeingia katika orodha ya watupia hat trick…

Read More

Mzigo wa talaka kwa wanawake-1

Kumekuwa na malalamiko, majadiliano na tafiti nyingi kuhusu ongezeko la talaka nchini. Wengi wanaamini na inavyoonekana moja kwa moja, kwamba suala hili la talaka linaathiri watoto kwa kiasi kikubwa. Katika mijadala mingi, wazazi na wataalamu wa malezi wanakubaliana kuwa talaka inaweza kuwa na athari kubwa kwa watoto. Watoto wanapitia mabadiliko makubwa katika mazingira yao ya…

Read More

Bunge jipya Afrika Kusini kukutana Juni 14 kumchagua Rais

Johannesburg. Bunge jipya la Afrika Kusini lililochaguliwa Mei 29, 2024 litakutana kwa mara ya kwanza Ijumaa ya Juni 14, 2024, wakati vyama vya siasa vikivutana kuhusu kuunda muungano baada ya uchaguzi mkuu uliopita kutotoa mshindi wa moja kwa moja. Wabunge katika Bunge la Kitaifa lenye viti 400 wataitwa kuteua Spika na kuanza mchakato wa kumchagua…

Read More

Serikali: Fedha zinazotumika kukarabati viwanja vya CCM zitarudi kwa umma

Dodoma. Serikali ya Tanzania imewaondoa hofu Watanzania kuwa fedha zitakazotumika kukarabati viwanja vya michezo vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) zitarejeshwa kwa umma, ili zitumike kufanya mambo mengine. Katika hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya aliyekuwa Wazira ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohammed Mchengerwa, aliomba Bunge kuwaidhinishia Sh10 bilioni katika mwaka 2022/23 kwa…

Read More

Saba wajeruhiwa daladala ikiacha njia na kugonga nguzo

Mwanza. Watu saba wamejeruhiwa baada ya daladala kuacha njia na kugonga nguzo zilizoko barabarani eneo la Nyakato Sokoni, Jijini Mwanza. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Gideon Msuya amesema ajali hiyo imetokea leo Jumatatu Juni 10, 2024 na uchunguzi wa awali unaonyesha daladala hilo liliacha njia kwenda kugonga nguzo zilizokuwa pembeni mwa barabara, baada…

Read More