WAHANDISI WASHAURI NCHINI WATAKIWA KUSIMAMIA KWA UKARIBU UJENZI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA

Naibu Katibu Mkuu anayesimamia miundombinu OR-TAMISEMI Mhandisi Rogatus Mativila amewataka Wahandisi Washauri wanaosimamia miradi mbalimbali ya miundombinu ya barabara nchini kusimamia kwa ukaribu miradi hiyo ili ikamilike kwa wakati. Mhandisi Mativila ameyasema hayo leo tarehe 10 Juni,2024 wakati akikagua ujenzi wa jengo la ofisi la wahandisi katika manispaa ya Tabora ambalo lipo chini ya mradi…

Read More

Madaktari kampeni ya Dk Samia wawafikia wananchi Katavi

Katavi. Kutokana na upungufu wa madaktari bingwa wa magonjwa mbalimbali mkoani Katavi, madaktari bingwa 25 wamewasili mkoani hapa na watawahudumia wananchi katika halmashauri zote za mkoa huo kwa siku tano. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu Juni 10, 2024, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Ezekiel Budem amaesema mkoa huo unakabiliwa na changamoto kubwa ya…

Read More

BARRICK YAWEZESHA KONGAMANO LA AIESEC ZANZIBAR

Na Mwandishi Wetu Wanafunzi kutoka vyuo vya elimu ya juu Zanzibar wameipongeza kampuni ya Barrick nchini na wadau mbalimbali kwa kudhamini kongamano la wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu ili ya kuwajengea uwezo wa kujimini na kutambua fursa mbalimbali za kimaisha. Kongamano hilo ambalo hufanyika kila mwaka, limeandaliwa na taasisi ya kuchipua na kuendeleza…

Read More

Jukata lachambua sheria za uchaguzi, lataja kasoro 11

Dar ea Salaam.  Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), limebainisha kasoro 11 zilizopo katika sheria za uchaguzi za mwaka 2024, likieleza baadhi ya vipengele vinaibua wasiwasi kuhusu uadilifu wa mifumo ya uchaguzi. Miongoni mwa kasoro hizo ni kuendelea na makamishna wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, kutumia watumishi wa…

Read More

Standard Chartered marks World Environment Day

    8 June 2024, Dar es Salaam – Standard Chartered (“the Bank”) cleaned up the Msasani Beach club as part of commemorating World Environment Day. The activity held on Saturday, 8 June 2024 coincided timely with the World Oceans Day. Speaking at the beach cleaning activity, Chief Executive Officer, Standard Chartered said, “When we…

Read More

Zelensky apuuza taarifa za Urusi kuteka kijiji mkoani Sumy – DW – 10.06.2024

Kupitia mtandao wa Telegram Rais Zelensky ameandikwa kwamba hadi kufia asubuhi ya leo bendera ya Urusi iliokuwa ikipepea katika kijiji cha Ryzhivka iliharibiwa vibaya na kwamba vikosi vyake viliwaondoa wakaaji katika eneo hilo linalozozaniwa na pande zote. Zelensky aliongeza kwamba ushindi unaodaiwa kutangazwa na Urusi katika kijiji hicho unatajwa kuwa ni propaganda. Hapo jana kiongozi…

Read More