WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI TPDC WAFANYA ZIARA GASCO

Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) wamefanya ziara ya kutembelea Kituo cha kupokelea gesi asilia-Kinyerezi leo Jumatatu Juni 10, 2024 kwa lengo la kujifunza shughuli mbalimbali zinazofanywa na GASCO ikiwemo shughuli za uendeshaji na matengenezo ya miundombinu ya gesi asilia, shughuli za ujenzi wa miundombinu ya usambazaji wa…

Read More

Ecobank yajivunia  faida Sh3.5 bilioni

Dar es Salaam. Katika kipindi cha robo mwaka wa 2024, Benki ya Ecobank Tanzania imefanikiwa kupata faida ya Sh3.5 bilioni ambayo ni mara tano zaidi ya ile iliyopatikana katika kipindi kama hicho mwaka uliopita. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu Juni 10, 2024, Mkurugenzi Mtendaji wa Ecobank Tanzania, Dk Charles Asiedu amesema matokeo ya…

Read More

Azim amvaa MO, Salim | Mwanaspoti

MFADHILI wa zamani wa Simba, Azim Dewji amewatuliza mashabiki huku akiwasisitiza Mohammed Dewji na Mwenyekiti wa Bodi, Salim Abdallah Mhene ‘Try Again’ kujitokeza hadharani kusema jambo. Dewji ambaye alikuwepo Simba ikicheza fainali pekee ya CAF kwa klabu hiyo amesema kwa hali ilivyo sasa MO na Try again mmoja wao anatakiwa kutoka hadharani na kutuliza upepo…

Read More

Kutembea na kamera bila utendaji dalili ya kuchanganyikiwa

Mkuu Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewataka watendaji wa mkoa huo kufanya kazi kwa uweledi ili watakapoondoka waache heshima kutokana na utendaji wao. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Pia amewataka kuhakikisha miradi yote ya maendeleo inatekelezwa kwa wakati badala ya kutembea na  kamera kila mahali kukagua miradi hiyo kwani anayefanya hivyo ana dalili za…

Read More

Wadau wa siasa walalamikia sheria za uchaguzi za Tanzania – DW – 10.06.2024

Wadau hao pamoja na mambo mengine wameisisitiza serikali ya nchi hiyo kuwa na uchaguzi mmoja, utakaojumuisha serikali za mitaa na uchaguzi mkuu. Wadau  wa siasa wakiongozwa na Jukwaa la Katiba Tanzania,JUKATA wamesema hayo Jumatatu walipokutana na wanahabari jijini Dar es Salaam,  na kubainisha kuwa, wanaishinikiza serikali ifanye mabadiliko ya katiba kwani kufanya chaguzi mbili tofauti, wa serikali za…

Read More

Ajali yaua watano Kigoma, wamo mafundi umeme

Kigoma. Watu watano wamefariki dunia na wengine wanane wamejeruhiwa baada ya gari waliokuwa wamepanda kuacha njia na kupinduka. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Philemon Mkungu amesema leo Jumatatu Juni 10, 2024 kuwa ajali hiyo ilitokea jana eneo la Katare, kijiji cha Rukoma wilayani Uvinza, ikihusisha gari aina ya Fuso mali ya kampuni ya Tropical/State…

Read More