Jeshi la Magereza kuanza kutumia mkaa mbadala kupikia

Dar es Salaam. Jeshi la Magereza limeingia makubaliano na Shirika la Madini la Taifa (Stamico) kwa ajili ya mauziano ya nishati safi ya kupikia ambayo ni mkaa mbadala unaozalishwa na shirika hilo. Makubaliano hayo yamesainiwa mwishoni mwa wiki, jijini Dar es Salaam na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza (CGP), Mzee Ramadhan Nyamka pamoja na…

Read More

PROF.LOKINA AFUNGUA KONGAMANO LA POLLEN2024 JIJINI DODOMA

  NAIBU Makamu Mkuu Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Taaluma, Utafiti na Ushauri Prof. Razack Lokina ,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua  Kongamano la Mtandao wa Ekolojia ya Kisiasa POLLEN2024, linalolenga kushughulikia migogoro ya kijamii na kiikolojia katika kuchunguza njia za kufikia mustakabali wenye haki na utofauti zaidi. NAIBU Makamu Mkuu Chuo…

Read More

Wizara ya fedha kukusanya Sh4.9 trilioni mwaka 2024/25

Unguja. Wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar inakadiria kukusanya Sh4.9 trilioni mwaka wa fedha 2024/25 sawa na ongezeko la asilimia 77 ikilinganishwa na makadirio ya kukusanya Sh2.76 trilioni yaliyopangwa kukusanywa mwaka wa fedha 2023/24. Hayo yamebainishwa Juni 10, 2024  na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Saada Mkuya wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya…

Read More

KUKAYA -MIONO YAPOKEA MABATI 72 KUTOKA REFUELLING SOLUTION (T) LTD KWA AJILI YA MADARASA MAWILI S/M MIONO

    Na Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo  KIKUNDI cha KUKAYA -Miono , Chalinze ,Wilayani Bagamoyo, Mkoani Pwani, kimepokea mabati 72 kutoka kampuni ya Refuelling Tanzania Limited, kwa ajili ya ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa ya shule ya msingi Miono. Akipokea mabati hayo kwa niaba ya kikundi cha KUKAYA MIONO ,Mwenyekiti Omary Mtiga ameishukuru kampuni ya…

Read More

PROF.LUKINA AFUNGUA KONGAMANO LA POLLEN2024 JIJINI DODOMA

  NAIBU Makamu Mkuu Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Taaluma, Utafiti na Ushauri Prof. Razack Lukina ,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua  Kongamano la Mtandao wa Ekolojia ya Kisiasa POLLEN2024, linalolenga kushughulikia migogoro ya kijamii na kiikolojia katika kuchunguza njia za kufikia mustakabali wenye haki na utofauti zaidi. NAIBU Makamu Mkuu Chuo…

Read More

Jafo: Miti milioni 266 imepangwa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dk. Selemani Jafo amesema hadi kufikia Machi 2024 miti milioni 266 imepandwa katika mamlaka za Serikali za mitaa Tanzania Bara. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Dk. Jafo amesema hayo wakati akijibu maswali bungeni jijini Dodoma leo Jumatatu ambapo amebainisha kati ya hiyo, miti milioni…

Read More