Gamondi, Yanga mambo bado magumu

MAMBO bado baina ya kocha Miguel Gamondi na mabosi wa Yanga baada ya kushindikana kukutana juzi Jumatano ili kujadiliana juu ya mkataba mpya na sasa kocha huyo anaendelea kula zake bata visiwani Zanzibar wakati anasikilizia simu za kuitwa jijini Dar es Salaam. Gamondi amemaliza mkataba aliokuwa nao na Yanga baada ya kuiwezesha kutetea ubingwa wa…

Read More

Kampuni 29 za Uturuki zatafuta fursa Tanzania

Dar es Salaam. Kampuni 29 kutoka nchini Uturuki zimekuja Tanzania kwa ajili ya kutafuta fursa za uwekezaji na ubia kutoka kwa wafanyabiashara nchini katika sekta za viwanda, kilimo na afya. Wawakilishi kwa kampuni hizo ambazo zimefanya mazungumzo na wafanyabiashara mbalimbali jijini hapa wamekuja ikiwa ni siku chache tangu Rais Samia Suluhu Hassan kufanya ziara ya…

Read More

RAIS SAMIA AZINDUA VITABU VYA KISWAHILI KOREA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akinyanyua juu vitabu vya Kiswahili kwa wasiozungumza Kiswahili mara baada ya kuvizindua kwenye mkutano na Watanzania waishio Jamhuri ya Korea tarehe 05 Juni,2024. Kushoto ni Mwalimu wa Kiswahili Ubalozini Tunu Magembe ambaye ndiye Mtunzi wa Kitabu hicho. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…

Read More

APR yamvutia waya winga Yanga SC

KLABU ya APR ya Rwanda imevutiwa na huduma ya nyota wa Yanga, Mahlatse Makudubela ‘Skudu’ na tayari imefanya mazungumzo naye ili aweze kwenda kuiongezea nguvu timu hiyo kwa msimu ujao wa mashindano nchini humo na anga la kimataifa. Skudu aliyejiunga na Yanga mwaka jana akitokea Marumo Gallants ya Afrika Kusini baada ya kuvutiwa naye zilipokutana…

Read More

Scholz aunga mkono mpango wa kuwarudisha makwao wahalifu – DW – 06.06.2024

Akilihutubia bunge la Ujerumani Bundestag mapema leo, kiongozi huyo amesema wahalifu sugu hawana nafasi ndani ya Ujerumani licha ya kupewa hifadhi nchini humo.  Akilihutubia bunge mapema leo, Kansela Olaf Scholz amejikita katika masuala matatu muhimu: mpango wa kuwarudisha makwao wahamiaji wahalifu katika nchi ambazo zinatajwa kuwa sio salama, mafuriko yaliyoikumba Ujerumani hivi karibuni na uungwaji…

Read More