Madalali, sera mbovu chanzo kukwama kilimo cha mwani

Dar es Salaam. Wadau na wakulima wa zao la mwani nchini wametaja teknolojia, bei ya chini, madalali na sera mbovu kuwa changamoto katika kilimo hicho. Wakizungumza jana Juni 5, 2024 katika mkutano wa pembeni ulioandaliwa na Shirika la Uhifadhi wa Mazingira Duniani (WWF) jijini Dar es Salaam, baadhi ya wakulima wamesema soko la mwani bado…

Read More

Doyo kugombea uenyekiti ADC, amkaribisha Msigwa

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Katibu Mkuu wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Doyo Hassan Doyo ametangaza dhamira ya kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho Taifa baada ya Hamad Rashid Mohammed kumaliza muda wake. Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 6, 2024 jijini Dar es Salaam, Doyo amesema anatangaza kugombea nafasi…

Read More

Sh787 bilioni zatengwa kukopesha wanafunzi 250,000

Dar es Salaam. Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza rasmi kufunguliwa kwa dirisha la uombaji mikopo ya elimu ya juu kwa njia ya mtandao ‘Online Loan Application Management System’ (OLAMS) kwa mwaka wa masomo 2024/2025. Dirisha hilo la maombi litakuwa wazi kwa muda wa siku 90 kuanzia Juni 1 hadi Agosti 31,…

Read More

‘Local content’ inavyotajirisha Watanzania, wavuna mabilioni

Ushirikishwaji wa Watanzania katika shughuli za madini (Local Content) na Uwajibikaji wa Kampuni kwa Jamii (CSR) ni moja ya mambo ambayo yamekuwa yakipigiwa chapuo na Serikali kupitia wizara ya madini ili Watanzania wanufaike na rasilimali zao. Mathalani katika ya Sheria ya madini ya mwaka 2017/2018 iliyoboreshwa mwaka 2019 na kisha kuongezwa kanuni ya ushirikishwaji wazawa…

Read More