Babi: Hawa kina Saido, Pacome freshi tu

NI kweli siku hazigandi, lakini rekodi ya Abdi Kassim ‘Babi’ a.k.a Ballack wa Unguja inaendelea kuishi katika vichwa vya mashabiki wa soka nchini. Ndio. Fundi huyo wa mpira aliyekuwa mahiri kwa kufumua mashuti makali uwanjani akiwatungua makipa, anaendelea kukumbukwa kutokana na rekodi aliyoiweka ya kuwa mchezaji wa kwanza kufunga bao kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa…

Read More

Sugu aanza kazi rasmi Nyasa

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa ya Chadema, Joseph Mbilinyi (Sugu) ameanza kazi rasmi kwa kufungua kikao cha kanda hiyo, huku akieleza utekelezaji wa ahadi yake ya kuje ga ofisi ya kanda hiyo. Sugu alishinda uchaguzi wa kanda hiyo akimwangusha aliyekuwa Mwenyekiti wa kanda hiyo, Peter Msigwa katika uchaguzi uliofanyika Mei 30, 2024…

Read More

Charlie Chaplin: Anaendelea kuishi kwa uchale wake

MASHAMBULIZI ya Palestina yanayofanywa na Israel yaliyoua mamia ya watu, huku zaidi ya milioni 2, wakikosa makazibaada ya nyumba zao kuharibiwa, yamewakumbusha watu wa Ulaya na Marekani alichosema msanii wa karne ya 20, Charlie Chaplin. Mchekeshaji huyu wa Uingereza aliyependwa kila pembe ya dunia aliwahi kufukuzwa Marekani kwa kauli zake za kupinga kuundwa taifa la…

Read More

Serikali haijawasahau mikopo walio na zaidi miaka 35

Serikali imesema kuwa inaendelea na jitihada za kuhakikisha inatoa fursa mbalimbali za mikopo na fursa za ujasiriamali kwa watanzania walio na umri wa zaidi ya miaka 35 ili kuwezesha kupata fedha kutoka kwenye mabenki na mifuko maalum iliyopewa vibali vya ukopeshaji. Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano Tanzania Kassim Majaliwa ameyasema hayo wakati akijibu swali…

Read More

ZAIDI YA SH.BILIONI 80 ZASAMBAZA UMEME VIJIJINI MKOANI SINGIDA

📌 *Kapinga apeleka shangwe za umeme Maswauya na Mdilu Singida Kaskazini* 📌 *Asema hayo ni matokeo  ya uchapakazi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan* 📌 *Mbunge apongeza Serikali kwa miradi ya maendeleo*  Naibu waziri wa Nishati,  Mhe. Judith Kapinga amesema kuwa zaidi ya shilingi bilioni 80 zimetumika kutekeleza miradi ya usambazaji umeme vijijini mkoani Singida na…

Read More

Siri ya Wacolombia wa Azam FC 

KLABU ya Azam imefikisha wachezaji wanne raia wa Colombia hadi sasa ila moja ya jambo usilolijua ni kwamba, mshambuliaji wa timu hiyo, Franklin Navarro aliyesajiliwa Januari mwaka huu ndiye aliyechora ramani ya nyota wengine kusajiliwa. Iko hivi. Baada ya mabosi wa Azam kukamilisha usajili wa Navarro kutokea Cortulua FC ya kwao Colombia, walimtumia nyota huyo…

Read More