Dk Nchimbi ataka kibano kwa watumishi wazembe

Moshi. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameitaka Serikali kuendelea kupambana na kuwachukulia hatua watumishi wa umma wanaotanguliza maslahi yao binafsi badala ya wananchi. Dk Nchimbi amesema kila mmoja kwenye eneo lake anapaswa kula kiapo cha uaminifu cha kuitumikia nchi kwa uzalendo na hivyo kuchochea maendeleo kwa Taifa. Dk Nchimbi amesema…

Read More

WAALIMU NA WAJASIRIAMALI WAFURAHIA FURSA ZA UWEKEZAJI

Na. Eva Ngowi, WF, Rukwa Serikali imetoa rai kwa Wananchi kuwekeza fedha zao sehemu sahihi na salama badala ya kuwekeza fedha mahali ambapo pana vihatarishi. Akiongea katika semina na Wajasiriamali wadogo iliyofanyika katika Soko la SabaSaba kwenye ukumbi wa Mwenyekiti wa Soko hilo mjini Sumbawanga, Afisa Mkuu Mwandamizi Idara ya Uendeshaji wa Sekta ya Fedha,…

Read More

Msigwa, Lissu jukwaa moja Singida

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa zamani wa Chadema Kanda ya Nyasa, Peter Msigwa amefika mkoani Singida kuungana  na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu kwenye mikutano ya hadhara. Lissu amekuwa na mikutano ya hadhara mkoani Singida tangu mwanzoni mwa Juni inayotarajiwa kufanyika kwa wiki tatu. Msigwa aliyeshindwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) katika uchaguzi wa…

Read More

NAIBU WAZIRI MKUU, DK BITEKO KUSHIRIKI WIKI YA NISHATI JADIDIFU KESHO TANZANIA RENEWABLE ENERGY ASSOCIATION (TAREA)

Maonesho Wiki ya Nishati Jadidifu, JUNI 6-7, 2024  Jumuiya ya Wadau wa Nishati Jadidifu Tanzania (TAREA), kwa kushirikiana na Wizara ya Nishati kwa udhamani mkuu wa Sunking, inawaalika Wananchi wote katika Maonesho ya Kitaifa ya Nishati Jadidifu (Renewable Energy)  yatakayofunguliwa Alhamisi Juni 6 na Naibu Waziri Mkuu na Waziri Nishati, Dk Doto Biteko na kufungwa…

Read More

Simba, Yanga zaletewa bure mastaa 22 wa Safari Cup Dar

BAADA ya mchujo mkali kwenye mikoa mbalimbali ya Tanzania hatimaye kikosi cha mastaa wapya vijana 22 wa mashindano hayo ya kuibua vipaji vya soka maarufu kama Kombe la Safari Lager Tanzania wametajwa. Mastaa hayo tayari wameingia kambini jijini Dar es Salaam na watakuwa chini ya malijendi kadhaa wa Tanzania akiwemo winga wa zamani wa Taifa…

Read More

USAID inavyosaidia kurejesha ushoroba wa Nyerere Selous-Udzungwa

Na Faraja Masinde, Mtanzania Digital Ushoroba wa Nyerere-Selous-Udzungwa ni eneo muhimu la kijiografia na kiikolojia nchini Tanzania. Eneo hili linaunganisha Hifadhi ya Taifa ya Nyerere (Selous) na Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Udzungwa, likiwa njia muhimu kwa ajili ya uhamaji wa wanyamapori kama vile tembo na wanyama wengine wengi. Hata hivyo, ushoroba huu ulikumbwa…

Read More

Bibi  wa miaka 77 auawa kwa kukatwa shingo

Moshi. Mkazi wa Kijiji cha Nakombila, Kata ya Kimochi, Wilaya ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro, Jenny Mtesha (77) ameuawa kwa kukatwa shingo kwa mundu na mtu anayedaiwa kuwa ni mjukuu wake (Jina tunalihifadhi) aliyetaka kumpora bibi huyo  Sh 240, 000. Inadaiwa kuwa, tukio hilo lilitokea Juni 3, 2024  baada ya  bibi huyo kutoka sokoni, kisha mtuhumiwa …

Read More

Yanga yavuna nusu bilioni za SportPesa

YANGA mwendo wa fedha tu. Baada ya kujihakikishia kuvuna Sh 600 Milioni kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kutoka kwa wadhamini wa ligi hiyo, wababe hao wa soka nchini jana wamevuna fedha nyingine zaidi ya nusu bilioni kutoka kwa Mdhamini Mkuu wa klabu hiyo, Kampuni ya SportPesa. SportPesa jana iliikabidhi klabu hiyo mfano wa…

Read More