IFANYENI SEKTA YA UVUVI AFRIKA KUCHANGIA PATO LA TAIFA:DKT BITEKO
*Afungua rasmi mkutano wa wadau wa sekta ya uvuvi Afrika * Ataka changamoto za uvuvi Afrika kutatuliwa * Asema sekta ya uvuvi inachangia sh.trilioni 3.4 nchini * Serikali kuendelea kuunga mkono sekta ya uvuvi nchini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka wadau wa sekta ya uvuvi barani Afrika kuhakikisha…