Pamba yaanza na Mserbia | Mwanaspoti

 UONGOZI wa Pamba umeanza kufanyia tathimini ya kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara huku ikiwa katika mazungumzo na aliyekuwa Kocha wa Tabora United Mserbia, Goran Kopunovic kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Mbwana Makata. Taarifa kutoka ndani ya kikosi hicho zililiambia Mwanaspoti, viongozi wameanza kukaa vikao kwa ajili ya kujadili…

Read More

Watahadharishwa kuhusu mikopo kausha damu

Na Mwandishi wetu, Kigoma Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma, Kanali Isack Mwakisu amewataka wananchi kukopa kwenye taasisi za fedha zilizosajiliwa na kutambulika kwa kuwa itasaidia kutatua changamoto zinazoweza kujitokeza kwa mkopaji kwa kuwa taasisi hizo zinaendeshwa kwa mujibu wa Sheria. Kanalı Mwakisu alitoa rai hiyo baada ya kukutana na wataalam wa Wizara ya…

Read More

Kenya yaunda kamati ya ushindi ya Odinga – DW – 05.06.2024

Kwenye hotuba ya pamoja kwa wanahabari, Waziri Mwandamizi ambaye pia ni waziri wa masuala ya kigeni, Musalia Mudavadi, amesema kuwa Rais William Ruto angali anampigia debeRaila kupata kiti hicho. Mudavadi amethibitisha kuwa kamati hiyo iliyoundwa inawajumisha washirika wa kisiasa wa Raila pamoja na maafisa wa serikali na lengo lake kubwa ni kusaidia mchakato wa kampeni….

Read More

Matumaini kwa watumiaji mafuta, bei ikiendelea kushuka

Dar es Salaam. Bei ya mafuta inatarajiwa kuendelea kushuka zaidi katika mwezi ujao kutokana na mwenendo wa soko la dunia, Chama cha Wauzaji wa Mafuta Tanzania (Taomac) kimeeleza. Mbali na matarajio ya bei kushuka, lakini bado uhaba wa Dola umeendelea kuwaumiza waagizaji hao, wakiamua kutumia Euro katika uagizaji. Kauli hiyo ya matumaini imetolewa baada ya…

Read More

Utata wa Gamondi Yanga | Mwanaspoti

MABOSI wa Yanga chini ya Rais wa timu hiyo, Injinia Hersio Said umeendelea kufanya vikao na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamondi aliyemaliza mkataba ili asalie kikosini, huku Muargentina huyo akipiga hesabu za kuondoka kwenda kutafuta changamoto nje ya klabu hiyo. Yanga ilimsainisha Gamondi mkataba wa msimu mmoja akichukua mikoba ya Mtunisia Nasredine Nabi…

Read More

PROF.KUSILUKA AWATAKA WATAALAMU WA MAZINGIRA UDOM KUREJESHA UOTO WA ASILI DODOMA.

  Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma Prof. Lughano Kusiluka,akizungumza wakati wa  mdahalo ulioandaliwa na Idara ya Jiografia na Stadi za Mazingira UDOM  wenye kauli mbiu “Urejeshwaji wa Ardhi na Ustahimilivu wa Hali ya Jangwa na Ukame” uliohusisha wadau wa mazingira kutoka ndani na nje ya UDOM. Mkuuwa Idara ya Jiografia Dkt.Augustino Mwakipesile,akizungumza wakati…

Read More

Watu 13 wafariki ajarini Mbeya

Na Grace Mwakalinga, Mbeya Watu 13 wamefariki papo hapo na wengine 18 kujeruhiwa kwenye ajali ya barabarani iliyotokea katika eneo la mteremko wa Mbembela jijini Mbeya baada ya Lori lililokuwa limebeba shehena ya kokoto kufeli breki na kuparamia magari mawili, pikipiki na guta. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya, Kamishna Msaidizi Mwandamizi Benjamin Kuzaga…

Read More