RAIS MSTAAFU NA MWENYEKITI WA GPE DKT. JAKAYA KIKWETE AONGOZA VIKAO VYA BODI HIYO MJINI BERLIN, UJERUMANI

Mheshimiwa Dkt. Jakaya Kikwete, Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia Masuala ya Elimu Duniani (Global Partnership for Education – GPE) akiongoza Vikao vya Bodi ya Taasisi hiyo vinavyofanyika Jijini Berlin, nchini Ujerumani kuanzia tarehe 4 – 6 Juni, 2024. Katika vikao hivyo, Taasisi ya GPE inapitia na kuazimia masuala mbalimbali ya kiundeshaji yatakayolenga…

Read More

93% ya uvuvi ni wavuvi wadogo

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema asilimia 93 ya uvuvi wote hapa nchini unategemea wavuvi wadogo na hivyo ni lazima uwe endelevu kwa manufaa ya sekta nzima. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akifungua Mkutano wa Kwanza wa Wavuvi kufanyika baranı Afrika sambamba na Maadhimisho ya miaka 10 ya mafanikio ya…

Read More

Korea yatoa bilioni 422 ujenzi hospitali Binguni

Serikali ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Korea zimesaini Mkataba wa Mkopo nafuu wa Sh  422.16 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Binguni, Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Mkataba wa Mkopo huo umesainiwa jijini Soeul leo tarehe 5 Juni 2024 na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dk. Natu Mwamba kwa…

Read More

PROMOSHENI ISIYO NA KIKOMO! KIBUNDA KIMEONGEZWA

UNAAMBIWA huko Meridianbet Bosi hataki mchezo, ile Promosheni ya shindano la Expanse si unaijua? Basi Pesa zimeongezeka kwa washindi na sasa dau limefikia Tsh Milioni Nne, Laki Saba na Elfu Hamsini. (4,750,000/=). Ili kushiriki kwenye shindano hili la kasino ya mtandaoni, Jisajili hapa. Shindano la Expanse ndani ya Meridianbet litatoa zawadi na bonasi za kasino kwa…

Read More

Kocha Yanga kutua Kaizer Chiefs

MUDA wowote kuanzia sasa huenda kocha wa zamani wa Yanga, aliyepo kwa sasa FAR Rabat ya Morocco, Nassredine Nabi akatangazwa na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini ili kurithi mikoba ya Molefi Ntseki aliyefutwa kazi. Nabi amekabakiza mechi moja tu ya Ligi Kuu ya Morocco akiwa na FAR Rabat kabla ya kumaliza msimu na tayari inaelezwa…

Read More

TLS yawafunda waandishi wa habari, yawataka kusaidia umma kutumia uhuru wa kujieleza

Chama cha Wanasheria cha Tanganyika (TLS), kimewataka wandishi wa habari nchini kuzitumia sheria zilizopo kuhakikisha wanausaidia umma katika ukuzaji wa uhuru wa kujieleza. Anaripoti Wellu Mtaki, Dodoma… (endelea). Hayo yameelezwa jana tarehe 4 Juni 2024 jijini Dodoma na Makamu Mwenyekiti wa TLS Wakili Deus Nyabiri alipofungua mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo waandishi wa…

Read More