KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MWAKA 2024 AMTAKA MKANDARASI WA MRADI WA MAJI MAKONDE KUONGEZA KASI YA UJENZI YA MATENGENEZO YA MRADI HUO

 KIONGOZI wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2024 Godfrey Mnzava,amemtaka Mkandarasi kampuni ya China Civil Engineering Construction Corperation(CCECC) inayofanya kazi ya upanuzi na ukarabati wa mradi wa maji Makonde kuongeza kasi ili mradi huo uweze kukamilika kwa muda uliopangwa. Mnzava,ametoa agizo hilo jana baada ya kutembelea na kukagua kazi ya upanuzi na ukarabati…

Read More

Hii hapa mikakati ya Serikali ya kupunguza ajali barabarani

Dodoma. Serikali imetaja mikakati inayotekeleza kupunguza ajali za barabarani,  ikiwamo kuifanyia marekebisho Sheria ya Usalama Barabarani. Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Jumanne Sagini kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Ndani, amesema hayo leo Juni 5, 2024 alipojibu swali la msingi na mbunge wa Viti Maalumu, Felista Njau. Katika swali la msingi, Felista amehoji…

Read More

KATIBU MKUU ALLY SENGA GUGU AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UMOJA WA ULAYA ANAEWAKILISHA UMOJA WA ULAYA NCHINI TANZANIA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ally Senga Gugu na Balozi wa Umoja wa Ulaya, Christine Grau (kulia) wakizungumza juu ya masuala mbalimbali yanayohusu ushirikiano katika masuala ya kudhibiti uhalifu.Kikao hicho kimefanyika Makao Makuu ndogo ya wizara jijini Dar es Salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Balozi wa…

Read More

Liverpool Yathibitisha Ofa ya Mkataba kwa Adrian.

Katika tukio la hivi majuzi, Klabu ya Soka ya Liverpool imethibitisha rasmi kwamba wametoa ofa ya mkataba kwa mlinda mlango wao, Adrian San Miguel del Castillo, anayejulikana kwa jina la Adrian. Klabu hiyo inatafuta kuhifadhi huduma za Adrian na imeanzisha mazungumzo ya kuongeza muda wake wa kukaa Anfield. Adrian alijiunga na Liverpool mnamo Agosti 2019…

Read More

WATU 200 KWA MWAKA HUFA KWA KUZAMA MAJI: EMEDO

Ofisa uhusiano wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, Monica Mutoni akifafanua jambo wakati wa warsha ya siku moja kwa wanahabari na wadau wa Hali ya hewa. Warsha hiyo iliyoandaliwa na Shirika lisilokuwa la Kiserikali la Usimamizi wa Mazingira na Maendeleo (EMEDO) imefanyika jijini Dar es Salaam Juni 4, 2024.Meneja Mradi wa kuzuia kuzama maji…

Read More

Makampuni wazawa wapewa kipaumbele utekelezaji mradi wa LTIP

Asilimia themanini (80%) ya kazi zote za urasimishaji mijini kupitia Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) zitatekelezwa na Makampuni binafsi yaliyosajiliwa kufanya kazi za upangaji (mipango miji) na upimaji wa ardhi na asilimia (20%) ya kazi hizo zinatekelezwa na Serikali kupitia watumishi walioko katika Halmashauri husika. Hayo yamebainishwa na Mwakilishi wa Meneja…

Read More

Vifo vya wanaokufa maji vyafikia 200, EMEDO watoa neno

  SHIRIKA lisilokuwa la kiserikali la usimamizi wa Mazingira na Maendeleo ya Uchumi (EMEDO) limesema kuwa takwimu za shirika la afya Duniani (WHO) zinaonyesha kuwa zaidi ya watu Mia mbili kwa mwaka wanakufa kutokakana na kuzama maji. Anaripoti, Erasto Masalu, Dar es Salaam … (endelea).  Hayo yamesemwa Juni 4,2024 na Mkurugenzi wa Shirika hilo Editruda…

Read More

Mauaji ya Kikatili Kanisani- 3

Njombe. Jana katika mfululizo wa simulizi ya mauaji haya ya kikatili tuliwaletea sehemu ya maelezo ya onyo ya kukiri kosa ya Katekista Daniel Mwalango maarufu kwa jina la Dani, aliyoyaandika akielezea hatua kwa hatua namna alivyotekeleza mauaji. Katika maelezo yake alisema Februari 7,2022, walikubaliana na Nickson Myamba kukutana ndani ya duka na wakiwa ndani ya…

Read More