Wananchi waitwa kutoa maoni Dira ya Maendeleo 2050

Dar es Salaam. Tume ya Mipango, imewaita wananchi kushiriki kutoa maoni ikiwamo kutuma ujumbe mfupi kuhusu dira ya maendeleo ya Taifa ya mwaka 2050. Dira ya Taifa ya maendeleo ni picha au maono kuhusu mustakabali tarajiwa wa maendeleo ya nchi katika siku za usoni. Wito huo umetolewa leo Jumanne Juni 4, 2024 Katibu Mtendaji wa…

Read More

Huduma za Posta zitumie teknolojia ya kisasa

Arusha. Serikali imewataka wataalamu kuitumia teknolojia ya Habari na Mawasiliana (Tehama) kuboresha huduma za Posta barani Afrika, baada ya kukua kwa teknolojia na matumizi ya mitandao kutajwa kama changamoto kwenye utendaji wake. Ushauri huo umetolewa jana Juni 3, 2024 na Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar, Dk Mzee Suleiman Mndewa wakati akifungua…

Read More

CCM yawapongeza Mbowe, Lissu kuongoza maandamano

Hai. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amempongeza Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Makamu wake-Bara, Tundu Lissu kwa kufanya maandamano kwani yanakisaidia katika medani za siasa za kimataifa, kuonyesha Tanzania kuwa na demokrasia ya kweli. Dk Nchimbi amesema hayo leo jioni Jamanne, Juni 4, 2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika…

Read More

Profesa Makubi ateuliwa Mkurugenzi Mtendaji BMH

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Profesa Abel Makubi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma. Kabla ya uteuzi huo Profesa Makubi alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI). Hayo yamebainishwa leo Juni 4, 2024 kwa taarifa iliyotolewa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Zuhura Yunus. Prof…

Read More

Chozi la DC akidai kupewa tuhuma uvunjifu maadili

Dodoma. Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika, Onesmo Buswelu amelia mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, akidai amebambikiwa tuhuma za uvunjifu wa maadili baada ya kuwabana watumishi kwa ubadhirifu.  Buswelu alifika mbele ya baraza hilo leo Juni 4, 2024, akituhumiwa kutoa lugha ya matusi au chafu, kuwaweka ndani watumishi wa halmashauri na fundi…

Read More