Rais Samia asisitiza uwekezaji katika nishati safi ya kupikia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameieleza dunia kuwa uwekezaji wa kweli katika nishati ni kuwekeza katika nishati safi ya kupikia barani Afrika. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Rais Samia ametoa kauli hiyo wakati anahutubia Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Korea na Afrika unaofanyika Seoul, Korea tarehe 4 na 5…