Selcom yainunua Access Benki Tanzania

Dar es Salaam. Kampuni ya Selcom imeinunua iliyokuwa benki ya Access Tanzania ikiwa ni moja ya hatua za kutanua shughuli zake za biashara katika huduma za kifedha nchini. Uwekezaji uliofanywa na Selcom ,sasa unaifanya benki hiyo kuwa na mtaji wa zaidi ya Sh8.6 bilioni, huku ikibeba malengo ya kuwa miongoni mwa benki kubwa tatu ndani…

Read More

Somo la Profesa Muhongo kukabiliana na tatizo la ajira

Dar es Salaam.Ni ukweli usiopingika kwamba takribani kila kaya nchini Tanzania ina kijana aliyehitimu shahada ama stashahada, lakini  hana ajira wala shughuli ya kumuingizia kipato. Ikumbukwe kuwa elimu ni uwekezaji ambao ni sawa na biashara nyingine na kila mzazi humpeleka mtoto wake shule kwa malengo ya kupata maarifa na kipato. Lakini sasa hali ni tofauti….

Read More

Makamu wa Rais mgeni rasmi kongamano Dira ya Maendeleo

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa kongamano la Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050 litakalofanyika Juni 8,2024 kwenye ukumbi wa Nkurumah Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 4, 2024 jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji Ofisi ya Rais,…

Read More