Nafanya masters kwa kutumia kipaji pekee
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo (CCM) ameishukuru Serikali kwa kurejesha utaratibu wa kutambua maarifa yaliyopatikana nje ya mfumo rasmi wa elimu (Recognition of Prior Learning) kwani yeye ni tunda la mmoja wa Watanzania walioendelea na masomo ya elimu ya juu kwa kutumia kipaji pekee. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). “Shukrani kubwa kwa serikali kwa sababu…