Wanaobeba watalii Waaswa Kuchachu ya Taswira ya Arusha.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema litaendelea kuimarisha ulinzi wa Mkoa huo ambao ndio kitovu cha utalii hapa nchini huku likibanisha kuwa leo limeendelea na utoaji elimu kwa madereva wanao pokea na kutoa huduma ya usafiri kwa wageni wanafika Mkoani humo kwa ajili kutalii. Akiongea mara baada ya kikao hicho na wadau wa usafirishaji…

Read More

Makamba ataja faida 10 ziara za viongozi nje

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema katika kipindi cha Julai 2023 hadi Aprili 2024, wizara hiyo iliratibu ziara 31 za viongozi wakuu wa kitaifa nje ya nchi na kuleta manufaa mbalimbali nchini ikiwamo kufungua milango ya kiuchumi kupitia uhusiano wa kimataifa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Pia amesema…

Read More

SERIKALI KUTUMIA VIKAO RASMI KUTOA ELIMU YA FEDHA

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Bw. Isaya Mbenje, akizungumza na Timu ya Wataalamu ya Wizara ya Fedha (haipo pichani) ambayo ilifika ofisini kwake kujitambulisha na kuelezea njia watakazo tumia kufikisha elimu ya huduma ndogo za fedha katika Wilaya ya Muleba mkoani Kagera. Baadhi ya Wananchi wa Kisiwa cha Bumbire wakiangalia filamu yenye mada…

Read More

Miamba itakavyoshindana uchaguzi Afrika Kusini

Mei 29, 2024 wananchi wa Afrika Kusini watapiga kura katika uchaguzi mkuu wa saba wa kidemokrasia wa nchi hiyo, tangu ubaguzi wa rangi ulipoisha mwaka wa 1994. Ni uchaguzi unaotarajiwa kuwa mgumu kwa chama tawala cha African National Congress (ANC) ambacho kimekuwa madarakani kwa miaka 30, huku kikiwa hatarini kukosa asilimia 50 ya kura ili…

Read More

Yanga yampa ofa Gamondi, apokea zingine tatu Simba ikiwemo

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ameipa timu hiyo mtihani mzito baada ya kupokea ofa kutoka timu tatu tofauti. Gamondi aliyesaini mkataba wa mwaka mmoja kuinoa timu hiyo akichukua mikoba ya Nasreddine Nabi aliyejiunga na FAR Rabat ya Morocco, kwa asilimia 80 ametimiza malengo aliyokuwa amepewa kabla ya kusaini mkataba ambao unamalizika mwishoni mwa msimu…

Read More

Simba yamnyatia beki wa Yanga

SIMBA imeingia anga za Azam FC, kuwania saini ya beki wa Yanga, Kibwana Shomari anayemaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu huu na bado klabu yake haijafikia mwafaka naye. Azam FC ndio ilikuwa ya kwanza kumpelekea ofa mchezaji huyo, lakini baada ya Mwanaspoti kuchapisha taarifa hizo, Simba ikaamua kutupa ndoano na siyo mara ya kwanza kumhitaji…

Read More