Wanafunzi 600 Dar walevi? | Mwananchi

Dar es Salaam. ’Inawezekanaje zaidi ya wanafunzi 600 wa shule moja kulewa na kulala darasani wakati wa masomo? Swali hili limekuja ikiwa ni siku chache baada ya Mbunge wa Kibamba, Issa Mtemvu kudai kuwapo kwa  tatizo kubwa la maadili ya watoto ndani ya jimbo lake. “Katika Jimbo la Kibamba ambako Rais amejenga shule nzuri kwa…

Read More

NBAA YATOA ELIMU KWA WANANCHI KWENYE MAADHIMISHO YA KITAIFA YA ELIMU – MWANAHARAKATI MZALENDO

BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imejipanga kuhakikisha inaendelea kutoa Elimu kwa wananchi katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu, ujuzi na ubunifu mwaka 2024 yenye kauli mbiu isemayo “Elimu, ujuzi na ubunifu kwa uchumi shindani” yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.   Ameyasema hayo Afisa Uhusiano na Mawasiliano…

Read More