Wanafunzi 600 Dar walevi? | Mwananchi
Dar es Salaam. ’Inawezekanaje zaidi ya wanafunzi 600 wa shule moja kulewa na kulala darasani wakati wa masomo? Swali hili limekuja ikiwa ni siku chache baada ya Mbunge wa Kibamba, Issa Mtemvu kudai kuwapo kwa tatizo kubwa la maadili ya watoto ndani ya jimbo lake. “Katika Jimbo la Kibamba ambako Rais amejenga shule nzuri kwa…