
MHANDISI JUMBE APELEKA SHANGWE ZA SIKUKUU YA MWAKA MPYA 2025 KWA MAKUNDI MAALUM SHINYANGA
Mhandisi James Jumbe (katikati) akizungumza wakati akikabidhi zawadi ya Sikukuu ya Mwaka Mpya 2025 kwa watoto wanaolelewa katika Kituo cha Kulelea Watoto Yatima cha Shinyanga Society Orphanage Centre. Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Katika kusherehekea Sikukuu ya Mwaka Mpya 2025, Mdau wa maendeleo, Mhandisi James Jumbe, ameongeza furaha kwa makundi maalum katika Manispaa ya Shinyanga kwa…