Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Year: 2024

  • Home
  • 2024
  • Page 2
Habari

MHANDISI JUMBE APELEKA SHANGWE ZA SIKUKUU YA MWAKA MPYA 2025 KWA MAKUNDI MAALUM SHINYANGA

December 31, 2024 Admin

Mhandisi James Jumbe (katikati) akizungumza wakati akikabidhi zawadi ya Sikukuu ya Mwaka Mpya 2025 kwa watoto wanaolelewa katika Kituo cha Kulelea Watoto Yatima cha Shinyanga Society Orphanage Centre.

Read More
Habari

Jamii yaaswa kusaidia watoto yatima

December 31, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wito umetolewa kwa jamii kuwasadia watu wenye mahitaji maalumu ili nao washerehekee mwaka mpya kwa furaha. Hayo yamelezwa leo Desemba 31, 2024

Read More
Habari

Makamanda wawatolea macho watakaovunja sheria mkesha mwaka mpya

December 31, 2024 Admin

Morogoro/Mwanza/Arusha. Wakati zimesalia saa chache kuumaliza mwaka 2024 na kuingia mwaka mpya wa 2025, makamanda wa polisi wa mikoa, wamepiga marufuku uchomaji moto matairi, kupiga

Read More
Habari

Benjamin Mkapa kuwekeza katika upasuaji wa Robot

December 31, 2024 Admin

Dodoma. Wakati zimebaki saa chache kumalizika kwa mwaka 2024, Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imetangaza mipango yake ya kuwekeza katika teknolojia ya upasuaji wa kutumia

Read More
Habari

Wananchi Mkuranga wataka ufanisi barabara za ndani

December 31, 2024 Admin

Dar es Salaam. Baadhi ya wakazi wa Mkuranga mkoani Pwani wametaka kuongezwa kasi ya kuboresha ujenzi wa barabara ndani za jimbo upatikanaji wa huduma za

Read More
Habari

Rais Samia atekeleza ahadi kwa wakulima wa nazi

December 31, 2024 Admin

Mtama. Rais Samia Suluhu Hassan ametekeleza ahadi yake ya kugawa miche 500,000 ya minazi kwa wakulima wa mikoa ya Lindi na Mtwara. Katika miche hiyo,

Read More
Habari

‘Jamii iwakumbue watoto waioshio mazingira magumu’

December 31, 2024 Admin

iDar es Salaam. Wakati msimu wa wanafunzi kurudi shuleni ukikaribia, jamii imeaswa kuwakumbuka watoto wanaoshi katika mazingira magumu ili wapate vifaa vya shule kama wanavyopata

Read More
Habari

Rais Samia awakumbuka wenye uhitaji Morogoro sikukuu ya mwaka mpya 2025

December 31, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Samia Suluhu Hassan ametoa msaada kwa watu wenye uhitaji kwenye kituo cha walemavu Amani Kilichopo Chamwino Manispaa

Read More
Habari

Upelelezi kesi ya Kabaisa, wenzake bado

December 31, 2024 Admin

 Dar es Salaam. Serikali imeeleza kuwa upelelezi wa kesi ya kusafirisha kilo 332 za heroini na methamphetamine inayomkabili mvuvi Ally Ally (28) maarufu kama Kabaisa

Read More
Habari

Bilioni 3 zatinga mfukoni madawa

December 31, 2024 Admin

  MFUKO wa Serikali ya Zanzibar umenufaika kwa kupata kiasi cha Sh. 3 bilioni zikiwa ni thamani ya mali mbalimbali zilizotaifishwa kwa kuhusishwa na biashara

Read More

Posts pagination

Previous 1 2 3 … 2,317 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.