NAMANGA SEC. YAFAIDIKA NA JENGO JIPYA LA BWENI CHINI YA UDHAMINI WA LSF KUPITIA SERIKALI YA LUXEMBURG

Namanga, Tanzania – Mei 23, 2024: Shule ya Sekondari ya Namanga leo imezindua kwa fahari jengo lake jipya la bweni, chini ya ufadhili wa Legal Services Facility (LSF) na North-South Cooperation kutoka Luxemburg. Msaada huu unalenga kuboresha miundombinu ya shule, kuwawezesha wanafunzi, hasa wasichana, kupata haki yao ya kupata elimu bora na kuwapa mazingira salama…

Read More

Bilionea wa zao la parachichi anayeingiza Milioni 200 kwa msimu

AyoTV katika kambi iliyoweka Njombe imekutana na Mfanyabiashar na Mkulima maarufu wa maparachichi anaitwa Stiven Mlimbila elimu yake ni darasa la sabab alifaulu ila hakifanikiwa kuendelea masomo sababu ya kipato. Akaanza kufanya kazi ya saidia fundi, akawa fundi ujenzi na baadae akawa anafanya usafi katika Ofisi za Halmashauri Iringa akafukuzwa kazi hela akiwa kazini aliyokusanya…

Read More

Aziz Ki kashindikana | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz Ki, sio mtu wa mchezo, kwani rekodi zinaonyesha anafunga eneo lolote na mguu wowote bila kutarajia, kama data zinavyoonyesha katika mabao 17 aliyofunga katika Ligi Kuu Bara msimu huu. Aziz Ki, aliye kinara ya orodha wa wafungaji wa Ligi Kuu akichuana na Feisal Salum ‘Fei Toto’ wa Azam mwenye…

Read More

Inonga aamua kuvunja ukimya | Mwanaspoti

WAKATI mabosi wa Simba wakisisitiza kwamba beki wa kati wa timu hiyo, Henock Inonga ana mkataba hadi mwakani na kwa sasa wanasubiri kupokea ofa kutoka klabu yoyote inayomhaji, beki huyo  raia wa DR Congo ameweka bayana kwamba ‘ndo imetoka hiyo’, kwani anamaliza mkataba mwishoni mwa msimu huu. Kumekuwa na sintofahamu baina ya Inonga na Simba,…

Read More