Miaka 63 ya Uhuru bila katiba ya wananchi

WAFUASI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na wanaharakati hivi karibuni wamekuwa wakifanya maandamano wakishinikiza kupatikana Katiba Mpya iliyotokana na wananchi wenyewe. Anaandika Elvan Stambuli… (endelea). Chama Cha Mapinduzi (CCM) hawataki na wameendeleza ubabe kwani kuanzia ya Uhuru Katiba ya mwaka 1961 (Tanganyika) hadi ya mwaka 1977, zimetokana na ubabe wa watawala na chama…

Read More

Afcon 2027 yaipaisha bajeti ya michezo

Hii ni bajeti ya fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2027 kwa Tanzania kuwa mwenyeji wa michuano hiyo. Hivyo ndivyo unaweza kusema baada Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kuongezewa fedha kutoka Sh35.4 bilioni kwa mwaka wa fedha 2023/2024 hadi Sh285.3 bilioni kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Bajeti hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/2025, imewasilishwa…

Read More

Rais Samia muonee huruma Dk. Phissoo

RAIS wangu mama Samia, wiki iliyopita baada ya kuwa nimekuandikia kuhusu upandaji holela wa bei za mafuta ya nishati, mwana mwema mmoja kati ya wengi walioniandikia, alisema; “kwema ndugu mwandishi? Binafsi nakuombea Mungu akulinde na akutete dhidi ya watesi wenye lengo la kuihujumu kalamu yako, maana nijuavyo haya uyaandikayo hawayapendi.  Wanapenda tuendelee kuwa mbumbumbu ili…

Read More

Wazazi Longido wanavyopewa taka za uzazi kwenda nazo nyumbani

Longido. Baadhi ya wanawake wanaojifungua katika Zahanati ya Leremeta iliyopo Kijiji cha Sinya, wilayani Longido, Arusha wanalazimika kupewa taka zitokanazo na uzazi wao ‘kondo’ kwa ajili ya kwenda kuziteketeza majumbani kwao. Kukosekana kwa chemba ya kichomeo taka kwa kutuo hicho ni sababu ya wanawake hao kukutana na magumu hayo. Na kuna wakati wataalam wa afya…

Read More

Serikali kujenga viwanja vya mazoezi Dar, Arusha, Zanzibar

SERIKALI imesema katika kuelekea michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (Afcon 2027) mbali na kujenga viwanja vitakavyotumika kwa ajili ya mechi, pia imeweka mikakati ya kujenga viwanja vitano vya mazoezi vitakavyotumiwa na timu shiriki sambamba na waamuzi. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma wakati akijibu swali la nyongeza la…

Read More