Maswali manne ishu ya Phiri kutua Yanga

WAKATI Yanga ikisubiri kujua hatIma ya sakata la kimkataba la mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube Inayempigia hesabu za kumchukua mwisho wa msimu huu, mabosi wa Jangwani wamerudi kwa mshambuliaji, Moses Phiri kama mbadala wa Mzimbabwe huyo. Yanga inamtaka Dube ambaye anaendelea kupambana na klabu yake akitaka kuachana nayo, lakini mabingwa hao wa Ligi Kuu…

Read More

Kikosi Yanga chamkosha kipa Tabora United

KIPA wa Tabora United, John Noble amesema Yanga ilistahili kunyakua ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, akitaja sababu ni ubora na ilikuwa na kikosi cha wachezaji wenye uwezo mkubwa wa kuamua matokeo. Noble amesema Yanga imekuwa imara kila idara kuanzia kipa, mabeki, viungo na washambuliaji, jambo analoona limeinufanikisha kuchukua ubingwa huo. “Mfano kipa wa…

Read More

Vikosi vya Urusi vyadai kutwaa udhibiti ngome ya Ukraine – DW – 20.05.2024

     Watu wawili wamekufa kufuatia shambulizi la Urusi katika miji ya Kherson na Zaporizhia iliyopo kusini mwa Ukraine. Urusi imeendeleza mashambulizi yake huku ikitangaza kuchukua udhibiti kamili katika eneo la Ukraine la Bilohorivka ingawa Ukraine inadai kwamba wanajeshi wake wapo katika hatua nzuri ya mapamabano katika maeneo hayo ya mpakani. Soma zaidi.Mashambulizi ya Urusi yawaua watu…

Read More

Vijana waaswa kushauri panapostahili sio kufanya uchawa

Dodoma. Changamoto za kiuchumi kwa vijana zimetajwa kuwa ni kikwazo kwa vijana wengi kushiriki kwenye chaguzi mbalimbali, huku wakitakiwa kushauri pale panapotakiwa badala ya kung’ang’ania uchawa (tabia ya kujipendekeza). Mbunge wa Viti Maalum, Nusrat Hanje ameyasema hayo leo Mei 24, wakati akizungumza kuhusu mdahalo wa vijana utafanyika Mei 25, 2025 unaolenga kuzungumzia miaka mitatu ya…

Read More