Watumishi 85,471 walioenguliwa kipindi cha JPM wapandishwa vyeo
SERIKALI imesema kuanzia mwaka wa fedha 2021/2022 hadi sasa jumla ya watumishi 375,904 wamepandishwa vyeo wakiwemo watumishi 85,471 walioathirika na zoezi la uhakiki katika kipindi cha uongozi wa Serikali ya Hayati John Magufuli. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Aidha, imewaagiza waajiri wote kupeleka taarifa za madeni ya watumishi ambao waliathiriwa na uhakiki uliofanyika katika kipindi…