Mshindi Parimatch Kitaa Cup 2024 kupata zawadi nono, Faru Dume, Kawe United FC, Kauzu zatamba
Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam. Kampuni ya michezo yakubashiri ya Parimatch imezindua michuano maalum ijulikanayo kwa jina la Parimatch Kitaa Cup 2024 yenye lengo la kuinua na kundeleza vipaji katika mpira wa miguu. Mashindano haya yanashirikisha jumla ya timu nane kutoka maeneo mbalimbali ya jijini Dar es Salaam kwa mujibu wa Mkuu wa Masoko…