Hakuna aliye salama Ligi Kuu Bara
LIGI Kuu Bara inakwenda ukingoni huku ikibaki kati ya michezo mitatu hadi minne kwa baadhi ya timu ili kumaliza msimu huu, lakini mbali na bingwa kupatikana ambaye ni Yanga aliyebeba mara tatu mfululizo, kuna vita kubwa ipo katika nafasi ya kushuka daraja. Katika msimamo wa Ligi Kuu Bara kuanzia timu inayoshika nafasi ya tano hadi…